Kimboka, Sudan, Sokota cha mtoto, hata Sodoma na Gomorrah yenyewe haifui dafu kwa mtaa huu

Kimboka, Sudan, Sokota cha mtoto, hata Sodoma na Gomorrah yenyewe haifui dafu kwa mtaa huu

Watu wenye akili kama wewe ccm huwa haiwasikilizi, inachowaza ccm ni uchaguzi wa 2025, yaani acha tu hizo ndege 4 ulizotolea mfano kwamba wangeacha kuzinunua fedha yake ingesaidia pakubwa sana, kuna magari ya washawasha yalinunuliwa mwaka 2015, yale magari yaligharimu mabilioni ya shilingi na hayakuwahi kufanya kazi yeyote, yaani yale mabilioni ya fedha zetu za jasho la kodi zimewekwa pale zimelala bure tu, ccm ndio inapenda kuwa na genge kubwa la vijana wacheza beti ili iwe rahisi kuja kuwatumia kuhujumu uchaguzi kwa kuwapa tshirt na shs 10,000 kila mmoja, Nikupongeze saana mkuu kwa mawazo yako mazuri
Dawa ni kuitoa ccm madarakani kwa njia yoyote

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtaa huko Tandika maeneo ya Davis corner hatari.

Sehemu za nyuma mabinti wanauza mpaka kwa sh. Elfu 1. Yaani ile afutatu unapata mademu 3 unawafanya sehemu za nyuma .

Serikali iwaondoe Mijini vijana wote wa kike na kiume wasio na kazi rasmi.

Iwapeleke kwenye mashamba maalumu ya kimkakati. Uhitaji wa chakula barani Afrika na duniani bado ni mkubwa.

Tumeshindwa kwenye Sayansi na teknolojia ili kukuza viwanda basi tujikite kwenye kilimo ambacho hakihitaji utaalamu wa juu sana.

Hawa mabinti wanaouza kwa elfu moja na vijana wanaobeti kisha wakipata pesa wanaenda kuzini wahamishwe Mijini.

Kila kijana akipewa ekari 2 vitendea kazi na ruzuku ya mbolea pamoja na pesa ya kula awapo shambani bila kusahau kuwaajiri maafisa ugani ambao watakuwa wanapita shamba hadi shamba.

Nchi itasonga mbele, vijana watasonga mbele.

Wawekezaji wataweka viwanda nchini wakiwa na uhakika wa malighafi.

Fedha za kununua ndege 4 tu za abiria zingechepushwa kwa kuanzisha mashamba ya kimkakati taifa hili lingemiliki soko la chakula barani Afrika.
Mkuu buku ni noma huko
 
Hahaha, ili ugundue nini mzee?[emoji16][emoji16][emoji16]

Ndoa ni jambo jema, ukijua kuwa jamii bora inaanzia kwenye familia bora lazima utabadilisha huo msimamo.
Kweli kabisa mie napenda sana ndoa na nina heshimu sana ndoa, maana niliona kwa wazazi wangu namna walivyo ishi kwa upondo na raha ndoa yao kwangu ilikuwa shule nzuri sana, la mie nitoleee hiyoo 🙂🙂🙂 imeisha bounce kama sikuumbwa kwa ajiri ya ndoa kama ambabyo wengine hawajaumbwa kuwa matajiri
 
Hao wazee ujana wao waliutumia kufanya nini hadi sasa washinde maskani wakinunua? Si ajabu wamekua wakiishi hivyo maisha yao yote sasa wazee wenzao wanakula pension wao wanawaonesheni vijana wao connection za pisi kali.

Haya mambo haya kama utani, unanunua weee mwisho unazaa na mwenye anauza, anazaa kitoto kinakuwa katika mtaa unaitwa #Assbuku# kitoto chako kinakua nacho kinaanza kuuza kwa buku. Mzee unazeeka unaangalia watoto wako na wajukuu wakiuza na kununua. Hehehe!

Kupanga ni kuchagua, kama ambavyo wanasiasa wanawarithisha watoto wao madaraka, kama ambavyo wafanyabiashara wanawarithisha watoto wao biashara, watumishi wanarithisha watoto wao utumishi, ndivyo ambavyo hao wazee wamewarithisha vijana wao kuuziana na kununuana huku wakifanya kazi za vijungujiko wapate buku za kununua 😅

Kila mtu na achague dhambi yake na aifanye kwa bidii, fainali uzeeni.
Ni wazee wenye hela zao chafu, ila tabia mbaya sio vijiwe vya choka mbaya asee.. maana ukifika ukiona machine walizopaki kama unatamaa umeisha tayari, wanapiga kama mashindano ni sehemu ya burudani yao.. Na siwaungi mkono pia.

Maisha yana misingi yake, unaweza chagua aina gani ya msingi ila kuna athari. Mwisho wa siku tupendane maana kama tunapenda hatuwezi tendeana maovu
 
Kuna mtaa huko Tandika maeneo ya Davis corner hatari.

Sehemu za nyuma mabinti wanauza mpaka kwa sh. Elfu 1. Yaani ile afutatu unapata mademu 3 unawafanya sehemu za nyuma .

Serikali iwaondoe Mijini vijana wote wa kike na kiume wasio na kazi rasmi.

Iwapeleke kwenye mashamba maalumu ya kimkakati. Uhitaji wa chakula barani Afrika na duniani bado ni mkubwa.

Tumeshindwa kwenye Sayansi na teknolojia ili kukuza viwanda basi tujikite kwenye kilimo ambacho hakihitaji utaalamu wa juu sana.

Hawa mabinti wanaouza kwa elfu moja na vijana wanaobeti kisha wakipata pesa wanaenda kuzini wahamishwe Mijini.

Kila kijana akipewa ekari 2 vitendea kazi na ruzuku ya mbolea pamoja na pesa ya kula awapo shambani bila kusahau kuwaajiri maafisa ugani ambao watakuwa wanapita shamba hadi shamba.

Nchi itasonga mbele, vijana watasonga mbele.

Wawekezaji wataweka viwanda nchini wakiwa na uhakika wa malighafi.

Fedha za kununua ndege 4 tu za abiria zingechepushwa kwa kuanzisha mashamba ya kimkakati taifa hili lingemiliki soko la chakula barani Afrika.
Muwe mnaacha unoko! Starehe na biashara ya watu wengine inakuwashaaa! Kwanini usikae kimya tu! Nani kakuuliza!? Nyinyi ndio wale wale midume suruali!

Hakukuwahi kuwapo na patrol huku, hata siku moja umesababishia watu hasara!....nyau wewe!!!.
 
Nawahurumia Sana vijana wangu. Mungu awape ufahamu.
Tuzidi kuombeana. Kudanga ndio imekuwa first option siku hizi. Hata kwan usiowategemea. As a resul, nako kumeingiliwa mno. Hakuna bei. Mambo yamerahisishwa mno.
Maisha haya bila kuwa na kazi inayoeleweka yakufanya, huwa yana majuto sana
 
Tuzidi kuombeana. Kudanga ndio imekuwa first option siku hizi. Hata kwan usiowategemea. As a resul, nako kumeingiliwa mno. Hakuna bei. Mambo yamerahisishwa mno.
Maisha haya bila kuwa na kazi inayoeleweka yakufanya, huwa yana majuto sana
Point ya msingi sana hii kwa dada zetu, ukikosa kipato halali au kazi ya kufanya, lazima utaishia huko siju moja.
 
Point ya msingi sana hii kwa dada zetu, ukikosa kipato halali au kazi ya kufanya, lazima utaishia huko siju moja.
That is it...maisha yanataka ule, ulee watoto na uendeshe maisha. Bila kazi itawezekana vipi?
 
That is it...maisha yanataka ule, ulee watoto na uendeshe maisha. Bila kazi itawezekana vipi?
Inakuwa ngumu mkuu.Na wengi wanafnya wasomi wanawake kutokana na ukosefu wa ajira na wengine tamaa tu.ushaur wako n nn kwa wasomi wadangaje?
 
Back
Top Bottom