National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Masasi pana mambo, nilikuwa napenda nikifka nalala pale kwa Adamu viazi, nadogee kula juu.. Acha tu 😅😅😅Asha zungu ni legendary, mara ya kwanza nilimuona anaitembeza masasi 2019
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masasi pana mambo, nilikuwa napenda nikifka nalala pale kwa Adamu viazi, nadogee kula juu.. Acha tu 😅😅😅Asha zungu ni legendary, mara ya kwanza nilimuona anaitembeza masasi 2019
Ah wee upo wapi nchi ilishakuwa sodoma tayari. Ni vile tuu wee hujui ila sie wafuasi wa shetani tayari tunajua uchafu wa ulimwengu kwenye sector ya ngono
Mkuu,Ume set standard nzuri sana kwenye maisha yako, nina wazee hapa kijiweni wana zaidi ya 55 years, ni wazee wa kununua na connection ukija jioni unajuta wanaonesha pisi kali kali za kupiga.. Mshukuru Mungu kwa utashi ulio nao
Hazingatii bei elekezi.Huwa unatumia sh ngapi?
Ndoa na iheshimiwe ( heshima muhimu sana ndani ya nyumba)Mkuu,
Ni kweli tunaweza kuwa players lakini sio kwa levels hizo za kwenda "site" kuchagua yupi anafaa kwa matumizi ya dakika tano..nah siwezi fanya hivyo.
Japo kwa mtaani kuna namna wanajiuza kama huelewi unaweza kudhani umepata baby kumbe umegongwa na kitu kizito chenye ncha kali.
Na kwa sie tulioko kwa ndoa ndio tunatakiwa kuwa makini zaidi.
Hilo la tigolization nawaachia nyie vijana!😁😁
Hakuna kitu kigumu kama kuwa na mke tu bila mpango wa kando, tumejaribu lakini sio rahisi. Kwa anayeweza hongera kwake, asiyeweza awe makini tu.Ndoa na iheshimiwe ( heshima muhimu sana ndani ya nyumba)
Kama ikiwezekana tulia na mke wako tu, huna haja ya kuangauka nje. Mfundishe mkeo unachotaka, au ambacho kinaweza fanya utoke nje, awe anakupa ndani... Mabahari wanatoka nje ya ndoa kufukua mtaro maana ndani ya ndoa ni swala zito sana na halitekelezeki..
Kwenye chama cha tigorization mie sipo.. Nipo chana cha walezi wa mabinti wa chuo hasa first year kwa kuwapa miongozo na warsha mbali mbali za kimaisha 😅😅
Nioe ili nigundue nini ase 😅😅😅Hakuna kitu kigumu kama kuwa na mke tu bila mpango wa kando, tumejaribu lakini sio rahisi. Kwa anayeweza hongera kwake, asiyeweza awe makini tu.
Mkuu oa then utakuja kuniambia😁😁😁
Kimara sehemu gani jioni nipite kabla sijaenda kulaza fuvuHata Kimara mwisho kuna mabinti wanajiuza... inasemekana mpaka kwa jero, tena wanajiita "JeroFasta!" 😂👍🏾
Wazo la kukamatwa na kupelekwa mashambani nakazia... tena wakiwa chini ya ulinzi mkali
Nji hii, watoto wameshindikana kabisa [emoji23]Wape wana location waje kufumua marinda
Relini kule ni balaa tupuDavis cona sehemu gani[emoji4]
Huwa wanakuchaji shingapi mkuuMh, hii chai. Elfu 1 kwa mparange?!!!!!!!!!!
Huku kigamboni maeneo ya mbutu kichangani malaya ni kuanzia 2000,ukitoa 5000 unaenda lala nae na tigo unapewa afu ni watoto wadogo sana,wale wa buku ni wale choka mbaya wengi ni vizeeKuna mtaa huko Tandika maeneo ya Davis corner hatari.
Sehemu za nyuma mabinti wanauza mpaka kwa sh. Elfu 1. Yaani ile afutatu unapata mademu 3 unawafanya sehemu za nyuma .
Serikali iwaondoe Mijini vijana wote wa kike na kiume wasio na kazi rasmi.
Iwapeleke kwenye mashamba maalumu ya kimkakati. Uhitaji wa chakula barani Afrika na duniani bado ni mkubwa.
Tumeshindwa kwenye Sayansi na teknolojia ili kukuza viwanda basi tujikite kwenye kilimo ambacho hakihitaji utaalamu wa juu sana.
Hawa mabinti wanaouza kwa elfu moja na vijana wanaobeti kisha wakipata pesa wanaenda kuzini wahamishwe Mijini.
Kila kijana akipewa ekari 2 vitendea kazi na ruzuku ya mbolea pamoja na pesa ya kula awapo shambani bila kusahau kuwaajiri maafisa ugani ambao watakuwa wanapita shamba hadi shamba.
Nchi itasonga mbele, vijana watasonga mbele.
Wawekezaji wataweka viwanda nchini wakiwa na uhakika wa malighafi.
Fedha za kununua ndege 4 tu za abiria zingechepushwa kwa kuanzisha mashamba ya kimkakati taifa hili lingemiliki soko la chakula barani Afrika.
Small planet pale tabata itakufaa Sana mkuu[/QUOTE]Wanabei gani pale isije kua mambo ya 50 bao moja nawakati sisi tunataka kwa buku hadi aftatuTunataka wa jicho bei chee mkuu tupe ma zimbo tukazile
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mama samia mbona unajizalilisha raisi wetu??Dah! Tigo imeshashuka thamani sana aisee... hadi mwaka 2014 hapo Kimboka bei elekezi ya mbususu ilikuwa Tsh 3,000/= ambapo upande wa nyuma ilikuwa zaidi ya hiyo. Kuna wengine walikuwa wanachaji hata zaidi ya Tsh 10,000/=. Tigo kwa 1000/= ni habari ya kusikitisha sana. Kimsingi kununua MALAYA ni jambo hatari mno. Kwa tuliopita hizo nyakati tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kupita salama. Ila kwa upande mwingine ni bora kununua kuliko hawa wa mtaani wanaojiuza kimkakati. Demu mtaani anakugeuza baba yake huku mkiwa na wenzako kadhaa. Bado kuna wale kama mzabzab wanaomla kimasikhara.
Hao wazee ujana wao waliutumia kufanya nini hadi sasa washinde maskani wakinunua? Si ajabu wamekua wakiishi hivyo maisha yao yote sasa wazee wenzao wanakula pension wao wanawaonesheni vijana wao connection za pisi kali.Ume set standard nzuri sana kwenye maisha yako, nina wazee hapa kijiweni wana zaidi ya 55 years, ni wazee wa kununua na connection ukija jioni unajuta wanaonesha pisi kali kali za kupiga.. Mshukuru Mungu kwa utashi ulio nao
Yule ni noma watu tunajifaidia vipi mkuu ulitindua?Asha zungu ni legendary, mara ya kwanza nilimuona anaitembeza masasi 2019
Hahaha, ili ugundue nini mzee?[emoji16][emoji16][emoji16]Nioe ili nigundue nini ase [emoji28][emoji28][emoji28]
Siwezi uza uhuru wangu nimehstuka
Mnachopata kwenye ndoa na mie navipata sema mmezidi vitu vichache vichache tu