Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Umejua kunichekesha aise dah tz raha sana kuishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anatulipa kwa kumkingia kifua wakati korona inakoromea duniaTuache utahira ipo siku yatatupata majanga kwa kuchukulia vitu poa na easy
Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.Ndugu yangu jobo kwanza salamu!
Pili napenda kukupa pole hasa kwa kuchagua siku isiyo rafiki kwa kufanya shughuli zako hapo Tanzania.
...aliyekudanganya uje kufanya shughuli zako siku ya Jumapili hakukujuza kwamba Tanzania kuna manabii na mitume wasiyo na idadi na kwalo siku hiyo ndiyo wao huitegemea?!
...yaani Gwaji & Co wasipige $ kisa wewe eti ili ufanye shughuli zako?!
Pole sana ndugu yangu jobo na mlaumu sana aliyekushauli eti shughulizo ukizifanya J'pili Tanzania zitafanikiwa.
Ulipaswa uwasiliane na mpwa wako Corona kwanza yule angalau angekupa picha halisi ya mitume na manabii wa Tz kabla ya wewe kutaka kuja kichwa-kichwa.
Kwa ninavyo wajua wa bongo usitarajie mteremko.Jipange.
Staki nikukatishe tamaa wewe kuja njoo lakini sidhani kama utafanikiwa kufanya shughuli zako kwa utulivu hapo Tz.
Kazi njema Jobo.
Kunakijiwe nimepita nikakuta jama mmoja Ni chadema anaongelea hiki kimbunga
Aisee chadema Kuna vilaza si utani
outcome huwa ni 100110102717372% ya mzaha..Nakazia.
...ndugu yangu Jobo punguza lawama.we jamaa ulinisababishia ban ya wiki tatu kwa thread zako za kipimbi kama hizi....