Kimbunga chavuruga Mkutano wa Kampeni wa Maccm Kigoma baada ya Lugola kumtisha Zitto

hiyo mitambo hatari...
 
Thanks mods kuuboresha uzi huu
 
siku c nyingi north korea wanakuja kuchukua wataalam
 
Acheni uongo usio na maana huo ni mkutano wa injili mjini njombe...
Watu kama ninyi ndio mnaishushia hadhi jf.. Ng'ombe pori wewe
 
Acheni uongo usio na maana huo ni mkutano wa injili mjini njombe...
Watu kama ninyi ndio mnaishushia hadhi jf.. Ng'ombe pori wewe
Wewe ndo mpumbavu kabisa, ng'ombe kasoro mkia wee...kwani hili ni Jukwaa gani?
 
nakumbuka kuna ailiambiwa ataona bwawa...na kweli kwani alifika hata aliishia njiani na hapo ikawa mwisho wake wa safari
 
Watu wa mwisho wa reli si wakisport sport kabisa!
 
UWONGO katika ubora wake walahi!
Ngoja ashikwe ndio ata test mitambo vizuri walahi!
Awamu ya Tano iko beyond that walahi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…