Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
Ah ndo hivo.Nimecheka sana aiseeeee!!!!!!!!!!!!
Kumuamini Mange ni kosa? hivi Mange akisema wewe unaweza pinga na utaanzia wapi?Huyo mange alikukosea nini? Maana kila post lazima umtaje!
Halafu ile kishabiki shabiki ! Mwanaume gani unashadadia masuala ya mwanamke?
Nimegundua wadada wengi wa kibongo wanamchukia Zari, leo kila kona wanafurahi hawataki kaka yao kuimport
Kuna tatizo kwani? Mimi mbona sioni ajabu?
Hata sasa wapo wanaoombea tuachane hahahaaaaa
Mkuu hiyo SPA hiyo misitu ni artifitial ni kama yale ya studio za wapiga piacha tuHiyo picha ni photoshop haiwezekani hayo maji yasimbae upande wenye mteremko wa misitu
KaharoHata watoto sio wa mond tulia na wabongo.
Mfupa ulomshinda fisi utaula wewe mond?? Hata ivan yalimshinda
wala sio kick kwan yeye mond ana nn ambacho ivan hakuwa nacho?
Hii ndio hali iliyopo instagram,!!
diamond anasema ndio maaana ana hit and run!!
kwamba akina dada hawathaminiki!
Inaonekana zari amecheat na uyo mjamaaa aliyebambia msambwanda wake kwenye swiming pool!
Updates::
Zari kakataaaa kasema picha ilipigwa na mke wa jamaaa!!!!
diamond mkurupuko
kwa mara ya kwanza upo against na kipenzi chako diamond...Aende zake kwa Mobeto na uwe ukweli. Zari muonyeshe huyo kijana ambaye hana heshima kwa wanawake ingawa unasingiziwa haya.
Yani ww ni mchonganishi mpk shetan anashangaa doh!!! Mondi ameshabadili gia uko mahaba yamerudi upyaaaYaani jamaa kaingiza mkono wote umezama! Angalia vizuri picha, vidole vya jamaa havionekani kabisa halafu ndio utuambie ni cousin. Mhn, Diamond unachapiwa ndugu yangu
Yanawahusu nini... Fanyeni yenuuMkuu kama kitu ukijui kaa kimya tu, hiyo swimming ipo hata wakina Ivan washawai pigia picha hapo.
Hizo picha zipo zaidi ya tatu sasa umeona hiyo moja then unatoa hitimisho eti 'picha feki' hata kama unampenda zari sana usiwe kipofu namna hiyo.
Diamond kama kafanya kiki kwa suala kama ilo atakua kaniboa sana, zari ni mama watoto wake hatakiwi kumuekea 'caption' za hivyo ni kumdhalilisha
Tizameni sasa mnavyotukanwa.... Fikeni mahala wabongo acheni UPUMBAVU....
Kumbe mama Tifah hata ya kiswahili anayafahamu [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndo umewaza hivyo... Umasikini tu wa akili....HZ KIKI ZA KUDHALILISHANA HAZIFAI, KWAN WIMBO HAUWEZI KUTOKA BILA HUU UJINGA, MFYUUUU
AsanteWewe ndo umewaza hivyo... Umasikini tu wa akili....