KIMENUKA: Diamond akerwa na picha za kimahaba za Zari na njemba nyingine

KIMENUKA: Diamond akerwa na picha za kimahaba za Zari na njemba nyingine

..msilaumu jamaa, shule imempita mbali mjue.. Ndo mana mambo ya ndani kaweka hadharan
 
Nimegundua wadada wengi wa kibongo wanamchukia Zari, leo kila kona wanafurahi hawataki kaka yao kuimport
 
Huyo mange alikukosea nini? Maana kila post lazima umtaje!
Halafu ile kishabiki shabiki ! Mwanaume gani unashadadia masuala ya mwanamke?
Kumuamini Mange ni kosa? hivi Mange akisema wewe unaweza pinga na utaanzia wapi?
 
Kuna tatizo kwani? Mimi mbona sioni ajabu?
Hata sasa wapo wanaoombea tuachane hahahaaaaa
a977c269c6490795718c2313cef69305.jpg
 
iyo ni kiki tuu izo picha diamond amezifuta na zari amefuta pia jioni hii chibu kapost video ya picha kadhaa na zari huku ikiwa na nyimbo ya SITAKI USHAMBENGA..
 


6540a802960fa2e9b8cb9be050af7235.jpg


Hii ndio hali iliyopo instagram,!!
diamond anasema ndio maaana ana hit and run!!
kwamba akina dada hawathaminiki!

Inaonekana zari amecheat na uyo mjamaaa aliyebambia msambwanda wake kwenye swiming pool!

Updates::
Zari kakataaaa kasema picha ilipigwa na mke wa jamaaa!!!!
diamond mkurupuko

4b3732829beb08b2982337d73bcc0ad5.jpg
 
Makeup...to breakup...ni Uzushi wa kiwango cha Lami..not to that extent..

Zari anatembea na MAPEDESHEEE, tupeni Wasifu wa huyo NJEMBA..
 
Aende zake kwa Mobeto na uwe ukweli. Zari muonyeshe huyo kijana ambaye hana heshima kwa wanawake ingawa unasingiziwa haya.
kwa mara ya kwanza upo against na kipenzi chako diamond...
muda unakimbia sana..!
 
Yaani jamaa kaingiza mkono wote umezama! Angalia vizuri picha, vidole vya jamaa havionekani kabisa halafu ndio utuambie ni cousin. Mhn, Diamond unachapiwa ndugu yangu
Yani ww ni mchonganishi mpk shetan anashangaa doh!!! Mondi ameshabadili gia uko mahaba yamerudi upyaaa
 
Mkuu kama kitu ukijui kaa kimya tu, hiyo swimming ipo hata wakina Ivan washawai pigia picha hapo.

Hizo picha zipo zaidi ya tatu sasa umeona hiyo moja then unatoa hitimisho eti 'picha feki' hata kama unampenda zari sana usiwe kipofu namna hiyo.

Diamond kama kafanya kiki kwa suala kama ilo atakua kaniboa sana, zari ni mama watoto wake hatakiwi kumuekea 'caption' za hivyo ni kumdhalilisha
Yanawahusu nini... Fanyeni yenuu
 
Diamond asipokaa vizuri atamfuata mwenziwe,
hilo li mama ni danger.
 
Back
Top Bottom