KIMENUKA: Diamond akerwa na picha za kimahaba za Zari na njemba nyingine

Ngoja tuwe waangaliaji
Ila hapo Photoshop hakuna zote ni picha sahihi angalia mkono wa zari uliposhika na angalia mkono wa jamaa uliposhika

Yeye anadai kua ni photoshop na kuweka picha ya huyo dada mwingine ila si kweli
 
DUuuuuu wanawake akili zenu mnazijua wenyewe yaani utasherekea mwanamke mwenzio akiachwa!
Aiseee
 
Mmmmhhh naona makinikia yamefika madale
 
Sasa hiyo picha ina shida gani?
Mbona wengi hupiga za hivi? na mbona hata Diamond hupiga za hivi?
 
Ngoja tuwe waangaliaji
Ila hapo Photoshop hakuna zote ni picha sahihi angalia mkono wa zari uliposhika na angalia mkono wa jamaa uliposhika

Yeye anadai kua ni photoshop na kuweka picha ya huyo dada mwingine ila si kweli

Nani aliyesema photoshop?? Au lugha ya mkoloni inapiga chenga kidogo

"Photo credit was by his wife. He is my kids' uncle, the late's cousin And I happened to meet them at a spa. When you are that IT loyal gal, someone will always find fault when it's not there just to cover and turn around stories of all the dirty they do
behind vou back."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…