KIMENUKA: Diamond akerwa na picha za kimahaba za Zari na njemba nyingine

Hata watoto sio wa mond tulia na wabongo.

Mfupa ulomshinda fisi utaula wewe mond?? Hata ivan yalimshinda

wala sio kick kwan yeye mond ana nn ambacho ivan hakuwa nacho?
 
Itakuwa ndo uzungu labda. Mimi siwezi kumkaribia mtu ambaye si mpenzi wangu kwenye swimming pool namna hiyo. Labda awe mwalimu ananifundisha kuogelea
 
unajua Mond atakua 'threatened' na new 'status' ya Zari (kutajirika ghafla),wanaume wengi hawako tayari wake zao wawazidi kipato,position yao ya kuwa in control kulea watoto,mke au familia kwa ujumla,inawaacha confused........................
 

Wewe unaachwa lini rasmi?

Wanadamu wengine bwana sijui waliumbwa saa ngapi? Waachane ufaidi nini wewe?!

Satanism has become rampant
 
waffle ndio nini nawew usituzingue hapa.... BONGOLOSTS
 
kumbe kavaa nguo za kuogelea nikajua uchi uchi yani... mambo madogo hayo
 
Kweli ata me kamkono nmekaona ka uyo njemba.... Lakin ctak niamin .. Cjui kwnn ata,
 
So far Zari keshajibu kuwa hiyo picha alipigwa na mke wa jamaa aliyeko naye ktk swimming pool.
Pia kaweka picha ya jamaa na mke wake ktk hilohilo swimming pool.
Hehehe leo rahaaaaaa.
shoga jua hata ivan yalimshinda haya maana alifikia wakati anamsalit kwa maradiki wa karibu sembuse huyu wa mbagala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…