Rich amebugi sana, nimefatilia interview alizofanya kabla ya kujitoa WCB na interview ya Sallam SK, WCB wanaonekana wako very professional, nadhani Mavoko kapata washauri wabaya ambao nia yao sio kumsaidia, wanaweza kuwa ni maadui wa WCB wanamumia tu kuichafua WCB na lengo lao likitimia au kufanikiwa hawatakua na time tena na yeye na hapo ndio atajua kama alikua ananyonywa au laah, Ila mwisho wa siku atakuja kuomba msamaha kwa yote anayoyafanya leo, kiufupianajiandalia majuto ya baadae.
Kwenye maisha kila siku tunatafuta marafiki wazuri na exposure, kwa WCB Mavoko alikua amepata vyote sasa anaenda kuvipoteza.