KIMENUKA: Diva atakiwa kumlipa Michael Lukindo Milioni 50 kwa kumdhalilisha

Hahahaha,,wanaume wa dar kuna vitu huwa nawapa big up,,,aisee hawanaga kulemba kwenye papuchi,,,waliweka na booking kumbe,,aisee nahamia dar na mimi soon
 
Kama kweli alimla kulikuwa na ulazima gani wa kuyaweka hadharani wakati amesema kabisa mahusiano yao yalikuwa ya siri? Tumuite rijali ama? Huyo mwanaume pia ana matatizo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyo Mwanamume labda awe baba yake.
Mkuu,nenda ukale mautamu...uza hata nyumba yako moja ya urithi ukapanuliwe mapaja meupe peeeeeee kama tofali la kuchoma

Pia,kjana mwenzetu ameidhalilisha kambi ya kiume,mambo ya gizani yanapaswa kubaki huko huko gizani!
 
kumbe sud brwn ni victor kadala.atakuwa wa pande za lake zone huyu
 
Mkuu,nenda ukale mautamu...uza hata nyumba yako moja ya urithi ukapanuliwe mapaja meupe peeeeeee kama tofali la kuchoma

Pia,kjana mwenzetu ameidhalilisha kambi ya kiume,mambo ya gizani yanapaswa kubaki huko huko gizani!
Bahati mbaya sana sijawahi kupenda hata kivuzi chake.
 
Aisee
 
Mh sidhani kama ana hyo pesa kwenye account yake! Gari yenyewe tu anaendesha ist tena kahongwa
 
Dogo we si ulisema unapenda kitonga kwa mashugamami? Haya huyo hapo sasa ushindwe wewe
 
Sorry kuna mambo naona kama ni ujinga mtupu.... Hasa ishu za mahusiano zinapowekwa public kwa mlengo huo wa matusi na kukashifiana
 
Huyo Diva mie naona anafosi mambo sana. Na huyo Lukindo mwanaume mzima kutangaza hadharani umekula wa dada wa watu kwani sifa?
 
Diva anakula vichwa tu tena type za wavulana wasiojielewa elewa
 
Sasa huyo kitoko ataweza lipa hata 10% ya adhabu aliopewa kweli?
Mbona hio 50m ni kama death sentence tayari,,,
Hiyo faini ni ndogo sana kwa Diva, mahali amepata 500m akitoa hiyo 50 anabakiwa na 450m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…