Wakirudi mazimbu na dakawa, tunao watajura kuja huku wasirudi nyuma walikotoa.[emoji57]Kati ya weusi mazuzu ni wasauzi hivi wanadeal na kuwafukuza waafrica wenzao, wanawakwepa wazungu.
Wajaribu kuleta hizi habari viunga vya Petori waone[emoji23]
WALIZOEA KUNYANYASWA SASA NAONA NA WAO WANATAKA KUNYANYASA WENZAO
Unatokea nchi gani?Swali kwa nini weusi wasikae kwenye nchi zao wakimbilie huko? Wazungu wa huko ni wakazi halali.
Weusi piganieni mazingira mazuri ya maisha kwenye nchi zenu. Msisubiri watu wengine waandae maisha yao kwa vizazi vyao mkimbilie huko.
Sasa hao wazungu si ni raia tayari wa Afrika Kusini, tena hawana shida na ajira ambazo sisi weusi tunaenda kuzifuata huko, ukiondoa ubaguzi wa hao wazungu wana mchango mkubwa kwenye utamaduni na uchumi wa Afrika kusini kuliko wageni weusi wanaohamiaKati ya weusi mazuzu ni wasauzi hivi wanadeal na kuwafukuza waafrica wenzao, wanawakwepa wazungu.
Wajaribu kuleta hizi habari viunga vya Petori waone[emoji23]
Kama miafrika inatumika kugombana yenyewe kwa yenyewe ndo maana ake hayana akiliPropaganda za makaburu hizo, wanalipa wahuni kufanya fujo ili waAfrika waonekqne hawapendani