Mi kwenye Uraia.Kabisa mie Dodoma nitaisoma tuu kwenye Atlas wallah!!!
Shoga kuna watu ni wajuvi wa kupika majungu, utadhan mapilau wa msiba wa babu pale ubungo rombo!!!Jamaaaaani JAMANI.
Yaaaaaani.Shoga kuna watu ni wajuvi wa kupika majungu, utadhan mapilau wa msiba wa babu pale ubungo rombo!!!
Kwakweli yule mama ana moyo wa jiwe km sio chuma.Yaaaaaani.
Sasa mtu kajifia na zake..
Ila zari anachukiwa jamani!
Hakiiiiii sijui anawezaje kuhandle that hate.
Khaaaaaa kumbe ile page ni ya mange...wallah bora nilivyomuunfollowMange ana Id nyingi instagram moja ni Jyamaudaku
Ananikeraga hapo tu huyo dada. Anajiona ana perfect life hawezi kufanya any mistake. Yani jana wamekutana drama queens wawili.Kiukweli alinikera alipomtumia Mange clip za Ruge anabembeleza huku analia, I had no doubt ni yeye alimtumia japo sikuamini jinsi anavyojipotray so innocent
Joe ndo nani?
Million 20 mchezo. Kama kawaida yao ya kuongeza manamba mengi waonekane expensive kumbe ushuzi mtupu child support zinawasogezaMillions 20 PESA nying sanaa aiseee... nafungua kiwanda cha kukoboa na kusaga
Angezaa na bakhressa tungekoma. Kumbe kazaa na wale wababa zipu mbovuBinti anapenda kujiweka victim kila siku,na bado anapenda taja taja aliozaa nao hata kwenye ugomvi usiowahusu
AiseeeHayo sijui
Yeye yupo huko anampa yake bado na fekelo akaunti zake
Tangu Mange ameleta haya anadai nyumba ya Zama kajengewa na maadui wa Ruge.. bado anamtisha kuwa alete docs za nyumba hiyo isiyo yake huku Zama amesema ni yake sijui yao(na mumewe)
Anasema next ni Mwamvita kumfichulia yake.
Milioni 20 kufanyia shereheMillion 20 mchezo. Kama kawaida yao ya kuongeza manamba mengi waonekane expensive kumbe ushuzi mtupu child support zinawasogeza
Daaaaaah. Alikamatwaga utamuuuKuna mtu aliyedhan ile fekero maarufu kwa kutukana nimeishau jina itakua ya tachel temu!!?
Labda kama hujipend ndo ujibishane nae..Natamani aje mtu atokee amuweze rachel anapenda kupiga biti sana watu huko insta.
Rachel mzuri sanaaaaaa. Ila akili yake ni zero zero zeroLile lidada limevurugwa na huwa halina mvutoo . ...yaan kidomodomo tuu
Mange ndo kiboko yake!
Yupo bwana. Walikia ndugu watatu na Majizzo alikuwepo.Majizo hata hayupo kwenye list ya WAMILIKI wa SHARE za EFM.
ILIWEKWA HAPA!!
Ukimuonyesha unampenda na ukamnyenyeka tu basi anakupa funguo ya moyo wake bila kujua huo unyeyekevu anaoupata anaulopaje. Anatumika na watu wengi sana na hata ukimwambia huyu mbaya huwa hajaliWema ni victim wa circumstances nyingi sana. To me ule upole wake na kupenda mno kuwafurahisha watu Kila mtu kwake yy anamkaribisha Adi chumban under the name of friendship afu mwisho wa siku anakuwa rafiki nyoka.
She isn't wise in choosing friends and knowing who to trust. I wish siku nimpe akili mbovu kama yangu.
Huwez ukawa rafiki wa Kila mtu duniani no way. Halaf kwao unakuwa real unajiachia kana kwamba ni ndg zako. Waswahili kusema "mtakatifu nyingi nasaba kupata mingi misiba"
Si was kina Sizya!Yupo bwana. Walikia ndugu watatu na Majizzo alikuwepo.
HahahahahaaAtakua Joe Thomas mwanamziki wa Marekani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Eti Sendo za Shaban. Labda na mashati ya RugeMilioni 20 kufanyia sherehe
hem ngoja kwanza!!
ALIFANYIA NYUMBANI- HAKUNA GHARAMA YA UKUMBI!
ALIPIKA CHAKULA KWA CATERING YAKE.
Hiyo milioni 20 kajumlisha na sendo za Shabaan au?