whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
View attachment 836026Mjini patamu,zama kwa mahasira kaondoa wote kwenye grup aliloanzisha na kuchangiwa pesa na idea za biashara kwa ahadi ya kumpa mshindi million moja
To handle it mm it needs one with steel heart.Yaaaaaani.
Sasa mtu kajifia na zake..
Ila zari anachukiwa jamani!
Hakiiiiii sijui anawezaje kuhandle that hate.
Eeeeh. Majizzo na Clouds mtu na kaka ake. Anaitwaga Francis sijui Majizzo. Kwenye yale majina mawili ya kiume moja lake.Si was kina Sizya!
Wakaka wawili na mama yao sijui dada yao
30/30/40
majjizo ni mmoja kati ya hao makaka?
Imeonekana wanaambukiza watoto so wamesimamisha kabisakumbeee but why?
Wambea wengi ni waluwalu..... wanatoa maana za kichwani mwao bila kuelewa kilichoandikwaHapana ndio maana kwa post namba moja umekosea..
Ni zama alimtumia hamisa msg yenye mshono alioushona
So kwa hamisa ilikuwa kwenda kushona na hakushona. Za hamisa hakuzichagua
Yote yapo humu inakuwaje hujaelewa!?
hahahaaa ndio nimefika saivMrs Van sijamuona hapa
Mwanao hajambo?Misa ananikera sana kujifanya victim kila mara... Akajambe mbele huko
Hajambo mkuuMwanao hajambo?
Yaan hanaga hekima hapo tuu. And she thinks watu wanampenda and they are real but the truth is hana loyal friend hata mmoja. Each one of her friends she is after something but not for true friendship.Ukimuonyesha unampenda na ukamnyenyeka tu basi anakupa funguo ya moyo wake bila kujua huo unyeyekevu anaoupata anaulopaje. Anatumika na watu wengi sana na hata ukimwambia huyu mbaya huwa hajali
Sorry nimekuquote wewe badala ya mwingineHajambo mkuu
Yeah zamani nilikua najua hawanyonyeshi then nikaambiwa wananyonyesha nikawa nagonga wazazi hao Mara nikaambiwa wanaruhusiwa kunyonyesha . then mwaka huu nikawa napiga story na Dada yangu ambaye anadeal na waathirika akasema now imakatazwa kunyonyesha mtoto maana wanawaambukiza ila akasema ARV imepunguza sana maambukizi ya ukimwiAisee tutarajie kuumbuka kwa watu wengi. Ile ya kunyonyesha miezi 6 ilikua inafichia watu aibu ya kujulikana.
Usijali..Sorry nimekuquote wewe badala ya mwingine
Ila asante kwa kunijibu kistaarabu
Yahh ni kweli si unaona hata mitaani hakuna wakondefu komdefu au waliojiishia dawa zinasaidia sana. Basi umenifungua akili nilikua sijui aisee. Ni bora waache tuu mtotot kama hajapata na kazaliwa kwa operation vze ni bora akanywa tuu maziwa mengine ili ujihakikishie afya yake.Yeah zamani nilikua najua hawanyonyeshi then nikaambiwa wananyonyesha nikawa nagonga wazazi hao Mara nikaambiwa wanaruhusiwa kunyonyesha . then mwaka huu nikawa napiga story na Dada yangu ambaye anadeal na waathirika akasema now imakatazwa kunyonyesha mtoto maana wanawaambukiza ila akasema ARV imepunguza sana maambukizi ya ukimwi
KaribuUsijali..