[emoji23] [emoji23] [emoji23] kaaKumbe nimedisco tayar......haya nipepo chabo mwenzio.....stak kukamatwa
Tupe chabooo!snow mbona hvyo!!Mwali mekwambia hii kozi ya nyumba umefeeeeeli.
wise words from a wise woman.Sidhani kama bado tunapaswa kuuitazama UKIMWI kwa jicho hili.
La AIBU!!
DHIHAKA!!
hiki ndicho kinafanya MAAMBUKI YAONGEZEKE BAINA YA WENZA NA KWENDA KWA MAMA NA MTOTO!!
if at all tunatazama waathirika wa Ugonjwa huu kama WATU FULANI WALAANIKA ,KIASI KUJULIKANA NI AIBU.
HATA WAO JUHUDI ZA KULINDA WENGIND HAZITAKUWEPO!!
maaana kimfano,UNAMFUTA MWANAMKE.
ananijijua ameathirika,UNADHANI ATAKWAMBIA?
ili UMTANGAZE?
MAMA AMEAMBUKIZWA ANAJIFUNGUA,ASIYE NA UELEWA ATAJILAZIMISHA KUNYONYESHA MWANAE ILI MSIMNYOOSHEE VIDOLE.
ah sijui kwann HATUKUBALI KUWA KUNA MAGONJWA MENGINE HATARI KULIKO MAAMBUKI I YA VIRUSI VYA UKIMWI.
Kinyama cha chini kinahusika bibie[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]Heeee we na we vipi unazijua k za kirundi au unajiongelesha hapa?
Nacheka kirundi' mbwa mbwa mbwa mbwa'
Mmmmh mjini hapa......Hahaaa!kumbeee!!sasa anakaaje na yule mkaka mwingine walahi ngewatimua miye
Umejuajeeee...kirefuu kama mlenda wa ziadaKinyama cha chini kinahusika bibie[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]
Mi niliona insta Original east alisemaYeye kaenda mwambia mtu mtu akamwambia mtu na mtu mpaka yakafika kwa Zama
Ya nani jamani mtuambieeee!!!!kaah!Walaaa hata siyo ya Ruge wala zama
Za kitaaa
Wee ukishaambiwa sio yake huelewi? Tutaje jina la baba house inahuu?Ya nani jamani mtuambieeee!!!!kaah!
[emoji23] [emoji23] [emoji3] sumuuuuTumemeza matango pori
Hakupendeza hata punjeee!!lol, tangu day one namuona Z kavaa ile nguo i was like "damn! what the hell"
kumbe ni mwili ndio ulimuangusha eeh basi pole yake lakini sikuona kama alipendeza.
Haaahaaa eti " damn what the hell'[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]lol, tangu day one namuona Z kavaa ile nguo i was like "damn! what the hell"
kumbe ni mwili ndio ulimuangusha eeh basi pole yake lakini sikuona kama alipendeza.
Hahaha yaani ndio nasoma hapa hayo majisifu yake ila wakiumwa mbio kuomba kuchangiwa.Kosa la Zamaradi ni yale magazeti yake " sherehe milion 20 oooh sijachangiwa, mgunia nimeutafuta mshono mwenyewe"
Mgazeti mmoja ( part 1) unakuja mgazeti mwingine hivo hivo kumbe full kujisifia tuu hamna la maana kujichoresha tu na kujisifia!
Halafu tunachanga sisi sasa kajamba flani yaaan! Mysterious!Hahaha yaani ndio nasoma hapa hayo majisifu yake ila wakiumwa mbio kuomba kuchangiwa.
Wasanii wa bongo ni mzigo walai.
Aisee...Za kitaaa
Zina semaaaaa ULE MJENGO NA ILE HARUSI NI KWA HISANI YA WATU WA DAR ES SALAAAM.
Jaaaaaapo,ulionekana toka ujenzi!!
iiiiiiila baba Feza praimare sio mhusika wa tofali zile.
weeeeeeeh BADAMU BANGEMWAIKA MWAAAAAI MWAAAAI.
Kwani Shilole na Hamisa hawapatani??Hakupendeza hata punjeee!!
Shilole alimuuliza hivi"usinambie kua kakushonea yule msichana"anamreferee hamisa akakataa zama akaanza kumsifu
Hivi haya mambo yote mnayatoa wapi! WhatsApp au?
Hapo kupanga nasadiki,hivi kabisaa waweza kuruhusu misheni akae kwakooo!miguu juu!kajiachia!sio akili hizoo!!mitope mitupuu!!!Rayna una akili mia mia...nimeshangaa watu humu mnampa misifa milioni!
Hivi mwanaume rijali iwe kweli nyumba yake utathubutuu kuingiza kidume mwingine mlee? Thubutuuu!
Sasa hili ndo jibu hiyo nyumba sio yake
( anapangisha)