Labda dunia iumbwe upya!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ile ya da wema ndo iliua ilee!haitokaa itokeee!
Ndicho anachokifanya mshamba Z ....si unajua warundi tena, kujikutaga![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ile ya da wema ndo iliua ilee!haitokaa itokeee!
Tena kimya kimya ....ila kuna clip leo nimecheka balaa ya huyo happy [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sanaaaaa happy kapoa anajilia vyake
Labda dunia iumbwe upya!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ile ya da wema ndo iliua ilee!haitokaa itokeee!
Hahahahha...brand bongo.Haahaaahaaa....yaaan brand brand mara brand watu tukajikuta brand...brand ikawa brand [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haaaahaa uwiii
By @hamisamobetto . . - First Of All Me sio Mtu wa Kujibishana Na watu insta Ndo maana always nakaaga Kimya . ...... Tangia Nimefungua @mobettostyles Kila siku imekua Jipya . Secondly sijawahi Sema Popote kuhusu mshono Wa Shughuli yako wala kuandika kwa My page so probably one of your friends kayapeleka sehemu . My dear ulivyokua hujanialika kwenye shughuli yako nilibezwa kuchekwa kutukanwa and all siku jibu wala ongea popote kwasababu kila mtu ana uhuru wa kuchagua watu atakao . . Ulinitafta Tumechagua Mishono umeenda shona kwengine sijawah lalamika my dear wala kusikitika Coz ridhki mafungu saba na kila likuepukalo najuaga huwa lina kheri na Mtu . . Hivyo basi kama mtu mzima ungeskia kitu ungenifata na kunambia lakin no umeamua kunichafua just because uweze lala vizuri usiku . #MniacheJamani #MaanaNadhanSikuMkinitoaRoho #MtafurahiaSana
Matatizo ya wanawake hujadiliwa na kutatuliwa na wanawake.By . . . @zamaradimketema - PART 1. Imenilazimu niongee haya kwa minajili ya kulinda BRAND YANGU na watu NILIOINGIA NAO MKATABA KWASASA hivyo mniwie radhi nitaowakwaza. Zamani wachawi walikuwa wanajificha wanasubiri giza liingie wapae, ila siku hizi wachawi wamehamia INSTAGRAM wazi kabisa, wanapoona kuna MAFANIKIO, HESHIMA ama MAPENZI kwako watatafuta kila sababu ya KUKUSHUSHA NA KUKURUDISHA CHINI MAKUSUDI kwa kutafuta na kutunga UONGO NA UZUSHI bila uoga wala haya ya kuona wanaongopa, lengo ni kukushusha mfanane, nataka niseme HATUTAFANANA!! Na nimeamua kuongea maana hata UONGO UKINYAMANZIWA SANA HUAMINIKA. baada ya 40 ya mwanangu kupita, kuna wapuuzi wenye chuki wamejitokeza na kuanza kusema mimi nimechangisha hela ya kufanya 40, hivi hii inaingia akilini!!?? kwanza kabisa huo sio utaratibu wangu na kwangu hilo ni swala la aibu sababu sherehe kama ya 40 ni HIARI sio kitu cha lazima, mwanzoni walisema nimechangiwa na wanakamati kutokana na group la rafiki zangu kwa mapenzi yao kujikusanya kuninunulia ZAWADI YA SURPRISE ambayo ni SETI YA DHAHABU waliyonikabidhi siku ya sherehe, tena sikujua hiko maana hata kwenye group walinitoa ili iwe surprise kwangu, na lengo la group mwanzo ilikuwa ni SARE ila baadae wakanitafutia zawadi kwa mapenzi yao kwangu na jinsi TUNAVYOISHI, ila hakuna mwanakamati wala mtu baki hata mmoja aliewahi kunipa hata SHILINGI MIA kama mchango kwangu au kunilipia chochote na SIJAWAHI KUOMBA sababu sio utaratibu wangu na kwenye lile NILIJITOSHELEZA, hivi mmeshindwa kutofautisha ZAWADI NA MICHANGO!?? Sababu tu ya kuona wenzangu wana mapenzi kiasi gani na mimi kuna wengine wanaumia tu na wanabadilisha mada kuwa nimechangiwa, kweli!?? Kama nina uwezo wa kumlaza mwanangu kwenye chumba cha Dola 1000 na upuuzi karibu milioni TANO kwa siku tulizokaa achilia mbali Ndege na vinginevyo kwa ajili ya birthday tena nje ya DSM na sikuchangisha leo iweje nichangishe!? Kama niliweza kufanya EVENT ya wanawake wenzangu BURE iliyonicost sio chini ya MILIONI NANE tena bila kusaidiwa na mtu YOYOTE kwa mapenzi tu na kutoa elimu na hawakulipa viingilio leo iweje nichangishe!?? Sio kila mtu ANAPENDA KUJISHAUA NA KUONGEA AMA KURINGISHIA, tusilazimishane tabia
Sasa mbona upo hapa mkuu?Matatizo ya wanawake hujadiliwa na kutatuliwa na wanawake.
Hivyo wanaume wenzangu hapa ni kupita kimya kimywa.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Shangaa na weweSasa mbona upo hapa mkuu?
Nimepita tu mkuu. No comment.Sasa mbona upo hapa mkuu?
Nakuona.... Katika ubora wakoMvulana wa miaka 28, hivi utaona umefanyiwa nini zaidi ya kuona maji ya hiki na mdalasini ndio mapenzi?
Eti wa degree unawaachia madomo zege.....pathetic!!! Hii inaonyesha jinsi usivyo jiamini.
Mwanaume wa kweli huoa mke ampendaye na kisha hujitahd kumake the best wife out of her. Na sio kudhania wa darasa la saba ndio the best and wa degree ndio poorest
Ndo ukweli huo HIV ni kidude kidogo sana microscope za malaria haziwezi muonaUnaniogopesha sasa mkuu[emoji15] [emoji15]
Ila wee jamaa hunaga cha maana cha kukomenti zaidi ya hii sentensi? Kama roboti vile! Khaaa
Timu wapi mashauzi tuu...migazeti ya mwananchi ya Z kuna team pale?Ila mwisho wa siku huu ugomvi kuwa mkubwa ni kwa sababu ya pressure za timu fulani na timu fulani
Ile zawadi hakupewa,ule mpochi mange ndio aliobakiwa nao baada ya kufilisika kila siku alikua anauvaa mpaka alipochambwa na kichwapanzi ndo akaupumzisha