Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wit jamani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila wee jamaa hunaga cha maana cha kukomenti zaidi ya hii sentensi? Kama roboti vile! Khaaa
Yaaani Mzigua90 we huonagi maroboti humu khaa!Wit jamani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajua mambo kama haya yanafanya siku iwe fupi. Yani umbea una raha sana ila usiwe unasemwa au kunangwa maana unaweza kukonda kwa dkkHawa wanajuana. Ushauri mzuri. Kila mtu anamaisha yake na anashida na shughuli zake. Pambana na maisha yako. Acha waendele kutoana kasoro. Kwan na wewe pia unashida zako.
Huyo shostito wako sijammanya.Yaaani mzigua90 we huonagi maroboti humu khaa!
Yy na mwenzake ningemtaja hapa sema she used my best shostito (ila nae ananiboaga sema ushostito)...wanaboa bana![emoji24] [emoji24] [emoji24]
Haaahaaa..unataka side b? Kausha banaa[emoji23] [emoji23]Huyo shostito wako sijammanya.
Kabisa ....koku kimeo kile!Oooooh
Aiseeee alifanya vibaya.. ilikuwa mashauzi kuwa yupo juu kumbe hamna kitu
Koku angelipata tungeikoma Uturn...
Kwahiyo ile LV hakupewaga Koku?Kabisa ....koku kimeo kile!
Cc. Mzigua90
Kama Leo,ah Off yangu mmeitendea haki sanaUnajua mambo kama haya yanafanya siku iwe fupi. Yani umbea una raha sana ila usiwe unasemwa au kunangwa maana unaweza kukonda kwa dkk
Ndio hakupewa![emoji45] [emoji45] [emoji45]Kwahiyo ile LV hakupewaga Koku?
Haaahaaa...umejileta tuuNitaje tu [emoji23] [emoji23]
Kumbe Misa nae kacopy mishono ya Mwenzie hukoHaaahaaa...umejileta tuu
Kwani alitaka kukula?Kule kumefungwa witnessj inauma sana pale unapotumia kila njia kumchafua mtu halafu zinafeli naangenila hata siku moja post ambayo angekuja nayo "NIMETOKA KUTOOMBA AMU GUEST MCHIKICHINI" kulika nalika si mwanamke mie,ila nina vigezo vyangu hujatimiza tuachane kistaarabu siyo kutumia kila njia kunichafua
Ana ujanja gani sasa yule zaidi ya kucopyKumbe Misa nae kacopy mishono ya Mwenzie huko
Nishaelewaaa..Ndio hakupewa![emoji45] [emoji45] [emoji45]
Ila wee mgumu kuunganisha dot! My IFM mate unaniangusha!
Sasa jeeNishaelewaaa..