Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema

Chanzo nguo ya Zamaradi aliovaa kwenye arobaini ya mwanae Salah. Eti inasemakana aliiba idea kwa Hamisa na akashona kwingine.

Sasa na siri zingine zinafichuka wengine tulikua hatujui kwamba Zama hanyonyeshagi wanae akijifungua waja wanauliza kulikoni?.

Ila jamani maisha ya instagram sio maisha kila kitu unapost unataka umfaidishe nani kwa mfano. Basi imekua ni kushindana daily. Wakaka ambao hamjaoa kwa kweli angalieni wachumba zenu kama wana instagram fever hao sio wa kuoa (yani kupost kila kitu) mwisho wa siku ni kuumbuana
Huko wanapost makalio tu

Niko zangu twitter hakuna umbeya
 
Kule kumefungwa witnessj inauma sana pale unapotumia kila njia kumchafua mtu halafu zinafeli naangenila hata siku moja post ambayo angekuja nayo "NIMETOKA KUTOOMBA AMU GUEST MCHIKICHINI" kulika nalika si mwanamke mie,ila nina vigezo vyangu hujatimiza tuachane kistaarabu siyo kutumia kila njia kunichafua
mhhhhh leoooo mambo mengi mpk nashindwa kupika
 
mhhhhh leoooo mambo mengi mpk nashindwa kupika
Ghosh! unashindwa kupika kisa Jf?....umbea wa humu yaan ni kama niko bar vile!

Huwezi amini umbea huu naupigia ofisini, barabarani, home, kuoga, kuchill yaan vyote hivyo navifanya na haviaffect ishu zangu za maana!.....haahaa marafiki zangu walionizoea wanasemaga natype kama Secretary wa magu!...yaaan ni vidole vinatambaa kama koboko mchangani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ghosh! unashindwa kupika kisa Jf?....limtandao la umbea? Yaan mi ni kama niko bar vile!

Huwezi amini umbea huu naupigia ofisini, barabarani, home, kuoga, kuchill yaan vyote hivyo navifanya na haviaffect ishu zangu za maana!.....haahaa marafiki zangu walionizoea wanasemaga natype kama Secretary wa magu!...yaaan ni vidole vinatambaa kama koboko mchangani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nanogesha tuu jukwaa mrembo naanzaje sasa kuacha kupika hapa watt wanalia njaa mara baba nae karudi anataka mososi hahahh
 
Cajojo utaachika kapike huko witnessj liid lake nalijua sana na huwezi hata kujua ana mambo ya kimama naona anafikiri jf ni pakuokota wadada na kuwafunua akishindwa anaanza ligi,naangenionja hata mdomo ningekoma humu ndani ila HALIJANILA na HALITONILA picha apigie punyeto
Heee kweli???? aiseee nimeshtuka kumbe witnessj ni mkaka mhhhhh. Napika my nishamaliza kwanza na kula
 
Back
Top Bottom