Thanks brodah!!NIMEMUELEWA SANA
acha wasambaze, mm JF naiogopa ukiLIKE jina linajitokeza
acha picha la kihindi liendelee mm na Pop corn hapa Dada yangu
Hongera kwa kulea kichanga
Hivi Dai si yupo? Milly hawezi lala sakafuni na mtoto wa mwanamuziki
NIMEMUELEWA SANA
acha wasambaze, mm JF naiogopa ukiLIKE jina linajitokeza
acha picha la kihindi liendelee mm na Pop corn hapa Dada yangu
Hongera kwa kulea kichanga
Hivi Dai si yupo? Milly hawezi lala sakafuni na mtoto wa mwanamuziki
MhDuh milly kazaa na dai lini?
Nimejifunza kitu.Fredy hajafika kutoa talaka kisa eti ipo siku neema atarudi kwake no way.
Iko hivi adhabu kwa mwanamke korofi ni kutomtaliki....,..ukimtaliki atakuwa huru Sasa ww unamnyea haswaaaa no talaka hakuna kuolewa tena. Ataishia kufanya tuu miaka yote ila ndoa hapat tena.
Hebu dadavuaYaani hamisa ameliwa sana na jamaa wa kiarabu sema mengine tunaficha
Hapana hajawekwa na ZamaNaskia Milly kawekwa rumande na zama. [emoji5][emoji5]
NdiyoHV watz mnafurahi habari za watu
Duh....huyu pck siyo mtt wa kigogo mmoja wa polis ambaye ni tapeli la kushindikana?Hapana hajawekwa na Zama
Kuna jamaa anajiita pck
Milly alipewa habari kuwa jamaa tapeli anatapeli watu,mara tuhuma kibao
Jamaa akabisha lkn Milly akazidi kumkomalia
Kumbe jamaa akachukua rb kimya kimya lkn ikawa ngumu kumshika
Akaamua kumtumia jamaa anaishi mwananyamala komakoma ili amuingie kwa gia ya kutongoza
Milly akawa mgumu lkn hakuna mkate mgumu kwenye chai
Maana Milly alifikia hatua anataka hela hlf jamaa anamtumia
Mwishowe wakapatana wakutane lamada hotel na ndio hapo alikamatwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwiiii,pole Yake. Hapo zama kapumua na itakua kafurahiHapana hajawekwa na Zama
Kuna jamaa anajiita pck
Milly alipewa habari kuwa jamaa tapeli anatapeli watu,mara tuhuma kibao
Jamaa akabisha lkn Milly akazidi kumkomalia
Kumbe jamaa akachukua rb kimya kimya lkn ikawa ngumu kumshika
Akaamua kumtumia jamaa anaishi mwananyamala komakoma ili amuingie kwa gia ya kutongoza
Milly akawa mgumu lkn hakuna mkate mgumu kwenye chai
Maana Milly alifikia hatua anataka hela hlf jamaa anamtumia
Mwishowe wakapatana wakutane lamada hotel na ndio hapo alikamatwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yuko selo ngoja akome kwanza!!Naskia Milly kawekwa rumande na zama. [emoji5][emoji5]
Ahsante[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nimekupenda bureeee!!!Hapana hajawekwa na Zama
Kuna jamaa anajiita pck
Milly alipewa habari kuwa jamaa tapeli anatapeli watu,mara tuhuma kibao
Jamaa akabisha lkn Milly akazidi kumkomalia
Kumbe jamaa akachukua rb kimya kimya lkn ikawa ngumu kumshika
Akaamua kumtumia jamaa anaishi mwananyamala komakoma ili amuingie kwa gia ya kutongoza
Milly akawa mgumu lkn hakuna mkate mgumu kwenye chai
Maana Milly alifikia hatua anataka hela hlf jamaa anamtumia
Mwishowe wakapatana wakutane lamada hotel na ndio hapo alikamatwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Vera ginger nimekupenda bure!!..kisssHapana hajawekwa na Zama
Kuna jamaa anajiita pck
Milly alipewa habari kuwa jamaa tapeli anatapeli watu,mara tuhuma kibao
Jamaa akabisha lkn Milly akazidi kumkomalia
Kumbe jamaa akachukua rb kimya kimya lkn ikawa ngumu kumshika
Akaamua kumtumia jamaa anaishi mwananyamala komakoma ili amuingie kwa gia ya kutongoza
Milly akawa mgumu lkn hakuna mkate mgumu kwenye chai
Maana Milly alifikia hatua anataka hela hlf jamaa anamtumia
Mwishowe wakapatana wakutane lamada hotel na ndio hapo alikamatwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa anadanga wanawake wa mjini siwawezi bora wa kwetu twatwa, vipi ni kweli amezaa na mond?
mhhh mond tena?Atakuwa anadanga wanawake wa mjini siwawezi bora wa kwetu twatwa, vipi ni kweli amezaa na mond?
Sent using Jamii Forums mobile app