Kimenuka Insta Hamisa mobeto Vs Zamaradi Mketema




Ule mshono ndio huu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

, mshono huo jamani nawapa bure [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mama dogo na wowowo mstatili hahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heee kumbe pole yake ndio maana sijaona umbea tangu majuzi mweh yule demu nilimuona mjinga kuacha kibarua dubai kurudi bongo njaa kali
Hajaacha kibarua kwa kutaka bali kafukuzwa Dubai
Inasemekana alipata danga club ambalo ni mjeshi baada ya kumalizana nae jamaa alikataa kumpa chake
Ndio kuanza kugombana na kukamatwa kuwekwa ndani wote wakaambiwa kila mtu atoe pesa au ndani miezi miwili au wiki mbili,jamaa alitoa nasikia pesa ni ndefu
Milly alikaa mpk akamaliza kifungo na kufungishwa virago arudi kwao
C unajua nchi za wenzetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
homa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…