Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
- Thread starter
- #901
Hivi ndo nani huyuHuyu nae sijui enzi za kumtukana le mutuz kibamia nae alikua anatukana humo humo au alipotezea View attachment 840467
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ndo nani huyuHuyu nae sijui enzi za kumtukana le mutuz kibamia nae alikua anatukana humo humo au alipotezea View attachment 840467
Bora umenisaidia kuulizaHivi ndo nani huyu
Ila wewe jamaa wewe hahahahahahahahahahahahahSo there is more to it than just meets the eye?
Hahahaaaa! Man oh man.
I’m waaaay out of the loop.
Ila kama wote wako mji mmoja kwa nini wasikutane wazipige tu?
Wema ana miaka 24 hahahahahah makubwa aiseeKhaaaaaa!...Mara paaap Wema ana 24[emoji15] [emoji15] dunia itasimama! Ama ama
Mzee usije shangaa iahu zako za USA baby hawa wadada humu siku wanazijadili hahahahaHivi haya mambo yote mnayatoa wapi! WhatsApp au?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaah NGABU hahahahWho is JuhJuh?
I thought was Uncle Juju!
Kuna mwingine tena?
Liberty ,Freedom to live as u wish ,ndoa zinabana sana Acha Ruge ale bataFirst degree bachelor Ruge....haoi Leo, kesho, kesho kutwa
Bado nipo nipo....hivi tatizo ni nini kwanini haoi na ana kila kitu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaah NGABU hahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama dogo na wowowo mstatili hahahahahMana kitambaa kizito duvet kile unakijaza chini vile no wonder haikukaa mabegani!!
Mana chini kuzito!!
Mabega haikufit!!
Basi ikawa tu tafran
Mara huku sendo za Shabani
Mara huku zile green house.
Hujakaa vizur pinki pinki ile imechambuliwa chambuliwa ya yule Nani sijui
Mara kule miguu ya Mama Teri.
Kule vipepeo vya wanakamati
Mara kapita mama dogo na wowowo mstatili lake ,nakwambia kilikuwa na matukiooooooooooo.
Hajaacha kibarua kwa kutaka bali kafukuzwa DubaiHeee kumbe pole yake ndio maana sijaona umbea tangu majuzi mweh yule demu nilimuona mjinga kuacha kibarua dubai kurudi bongo njaa kali
Halafu huyu nae mimi hata simuelewagiHuyu nae sijui enzi za kumtukana le mutuz kibamia nae alikua anatukana humo humo au alipotezea View attachment 840467
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kidole cha mwishoNimekiona,mwenyewe ndo kwanzaa kaona pozi murua kutundika mtandaoni
Hahaha ,elf 3 za nini tena?Taarifa zisizo rasmi kuna mtu mmoja wa jf nae katoa watu kwny grp lake la whtsap kisa wamegoma kuchangia elf 3
homaMoja ya sababu ambazo zinaweza sababisha mtu asiruhusiwe kunyonyesha watoto..ni pamoja na maradhi ya oma ya ini na ndugu yake mkubwa...
Lakini pia anaweza kutonyonyesha kutokana na maziwa kuto toka kabisa
Pia mtu anaweza kutonyenyesha baada ya kuamua tuu ili kulinda mwili wake hasa maziwa kishuka na mabadiliko mengine yanakuja baada ya mtu kuanza kunyonyesha....
kumbeeee ni mcheza showHalafu huyu nae mimi hata simuelewagi
Ni mcheza show wa fm band
Daah ile cheza yake sijui km yupo salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili nimelihifadhi kwenye makabrasha ya ukoo wetu