Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Ukiangalia kwa Kina Zamarad ndo mgomvi amechukulia mhemko sanaa hili jambo!yaani hata ile michango kaona madogo ya nguo ndo kaona kubwa au sijui kwa kua michango kasema tzshaderoom ambae hana kick....!!Ila mwisho wa siku huu ugomvi kuwa mkubwa ni kwa sababu ya pressure za timu fulani na timu fulani