Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Teynaaaaa,huyu bibi kizee nae leo kalikoroga.
Asiyekaa alee watoto wake wanne anahangaika na Wema.
Huyo wema ndo kazeeka hadi papuchi ndio maana anashindwa kuzaa, mwenzio mzee ndio lakini anazaa kwa raha zake, yeye kijana mbona hazai? au ndo mwenzetu K yake imezeeka? ahahaa dadaduuudaaaaa, azae na yeye kama sio mzee maninaaa, miss fekero mwaka wake huu kumanina zake, ana fake mpaka mimba, uwiiiiiiii sitaki mie , mujini pazurii
 
Hujielewi hiyo unayoleta Ni formal meaning ya Uswahili.

"formal meaning" ndo kitu gani?

kuhamisha Goli hapa hatupo kujadili Maana halisi ya Mswahili.

Nawe acha kudandia garimoshi kwa mbele. Mimi nimeanza kuchangia humu kwa kuhoji matumizi potofu ya 'uswahili' wa Zari.

Sasa wewe tatizo lako nini?

Jibu unalo mtu akikwambia mswahili anamaanisha nini.

Hapana. Mtu akiniambia hivyo jibu sina na ndo maana lazima nitamhoji. Siendekezi ujinga mimi.

ndo maana alivyoitwa huyo Zari Mswahili ukareact kuleta video za Wema alivyo mswahili ukamuita Mzungu kama joke sasa unabadili so maana from informal meaning kuleta kwenye Formal Meaning ya Mswahili.Mshajua akili yako kumbe nawe Mswahili.
Jioni Njema.

Hapana, nimeleta hizo video kuonyesha ushenzi wa Wema ambaye anadai hawezi kujibishana na mtu mzima kwa sababu kafunzwa na mamake.

Na kweli, baada ya kuona maneno ya mama Wema akishusha mitusi na baada ya kumwona Wema mwenyewe akishusha mitusi, haiingii akili kwa Wema kusema hawezi kumjibu Zari au sijui kujibishana naye kwa sababu eti kafunzwa vizuri na mamake.

Na ni kweli, Wema kafunzwa vizuri mamake😀.
 
Wasuguaji bongo adimu sana embe wwapelekee makuli kule bandarini wakawasugue kama utaona mtu anaingia insta kumsema mwenzie
 
Zari nae mswahili sana

Sijui.anatafuta kiki mavi....yaani nilidhani wema anapenda kiki ila hajamfikia zari hata kidogo. Halafu mtu mzima hebu alee watoto. Mama wa watoto 4 unapata wapi muda wa kukimbizana na visichana insta?
Wazazi wa siku hizi mkoje?
Wanawake wa siku hizi kungwi wenu nani????
Hivi mtu mzima anazaa? huyo wema mtoto mdogo ila kashaenda menopause *****, zari mpaka kesho akitaka kuzaa anazaa,mwambien huyo bibi bomba wenu ashike mimba kama anaweza, kazi ku fake tu kila kitu *****
 
Na mkurupukaji namba moja ni wewe!!! Hujui nini halisia kinachoendelea mtaani unashupalia tu post za instagram.!! Uliza mtaani huku nn kina happen ndio utajua kwann Zarinah anareact namna hiyo!!! Huyo mlimbwende unayemsifia humu ni bogus kabisa, she doesn't know how to let go..
Wewe mpuuzi hebu kaa mbali na mimi,nakuona tu unavyonichokonoa nimekaa kimya sasa unataka kunipanda kichwani.
Mimi nimeleta habari kama ilivyo Instagram,wewe hayo yako ya mtaani unayoyajua si ulete uzi wako?
Nani alokukataza?
 
Ni muendelezo wa vita ya maneno isiyoisha kati ya anayejiita Zari The Bosslady na wa kuitwa Tanzanians sweetheart Wema Sepetu.
Vita hiyo imeendelea leo kwa Zari kuanza kumtupia mafumbo mwenzie Wema,wapambe wa Wema wakacharuka na kumuita boss wao Wema ambaye alitaharuki na kuuliza kipi kinachoendelea?
Ndipo mpambe wake anayejiita wemareplies alipomuwekea screen shot ya aliyoyasema Zari.
Wema nae akajibu huku akisisitiza hana muda na Zari wala kaka (Diamond)

Kama haitoshi akapost picha huku akiweka caption ya kuwa kafunzwa na mamie kugombana na watu wazima (Zari) ni kukosa adabu.

Ndipo Zari nae akamjibu kuwa yuko busy na kazi,asijisumbue.

Nimeatach na screen shots za matukio yote.....

Ktk Ubora Wako Mama " MFUKUNYUKU " a.k.a POPOMA.
 
Teh teh ! Basi watakuwinda muda sio mrefu ....mimi nachekaga sana hizi team wema,team kiba ,team diamond wanavyoparuana ,hivi Magufuli akiamua kuleta ubabe wa PYONGYANG akazifungia Instagram na kina Facebook kuna watu watalazwa hospital kama vile wamepatwa na bomoa bomoa
Ubuyu una raha yake
Haha sukuhiz kuingia instagram imekua ni lazma kama kuingia chooni daily, usipoingia unaona umis kitu flani ase
 
Tatizo we nawe inaonekana unamfahamu wema wa kwenye mitandao tu humjui wema halisi!! Yule binti ana roho ya ajabu sana na nimchonganishi sijapata kuona.. Wema amefika point mpaka anawalipa waandishi wa magazeti ya udaku wamchafue zari na dogo D!! Kama ni uvumilivu ni D na mkewe ndio wavumilivu lakini sio huyo binti yani ameunda hadi kanetiweki chake cha watu kwa ajili ya kumchafua dogo D.. Kiufupi huyu binti ni mkorofi sana na hajitambui so sishangai kama mwenzake naye amereact kwa hasira na kumtukana..
Wema anamtaka sana diamond, ndio maana kila siku anahangaika kutafuta wanaume FAKE hili amrushe roho diamond, kajaribu kwa yule mwanamitindo wa rwanda kashindwa,kajaribu kwa idris napo pamebuma, akili yote ipo kwa domo *****, uwiiiii mam ubaya acha kufake life
 
Zari alipokuwepo Tanzania Wema anashinda anatumia majina feki kumtafuta Zari, hivyo Zari akamgundua hadi siku anaondoka aliandika kwamba nimeondoka sasa atafurahia. Hayo ni ya snapchat

Wema anafanya vituko sasa naye anajisahau dana habari zinawafikia familia ya Chibu. Tangu Dec nilijua hii kitu itaenda mbali.

Inabidi Wema afunge virago rohoni kwake kumsahau Diamond hakuna lingine tena.

Ndio maana anahangaika sana na bado, atajiju analo yeye amempata Idrisi bado hafurahii.

Kuna jina moja lina copi na pesti meseji moja kwa weeks kwenye posts za Zari akibuloki anarudi na jina lingine hata jana niliiona ya mwisho maana huwa sisomi comments labda za mwishoni.
 
Wewe mpuuzi hebu kaa mbali na mimi,nakuona tu unavyonichokonoa nimekaa kimya sasa unataka kunipanda kichwani.
Mimi nimeleta habari kama ilivyo Instagram,wewe hayo yako ya mtaani unayoyajua si ulete uzi wako?
Nani alokukataza?

Kama Vipi Niuzie Mimi Hilo BIFU Nimalizane Nae Na Wewe Upumzike au? Yaani Sijui Kwanini Napenda " Ligi ".
 
Four kids

Anapata muda wa kukimbizana na kina wema wasio na watoto...ambaye hawazi kesho ya mwanae..... hawazi mwanae kavaa nguo gani....kaenda au hakwenda shule...kaamkaje....kafanya homework........ pyeee
Sasa wema atazaaje wakati kizazi hana? mwenzenu anatamani sana kulea ndio maana kila siku analea mbwa, zari anamuumiza sana wema kwa mengi, mwenzie anazaa wee yeye hata mmoja hana kazi kufuga mbwa, unadhani mama ubaya hapendi kuzaa? tatizo kizazi hana, mwanamke jina tu na papuchi ahahahhah ahahahhahaahahahah WEMA MGUMBAAAAAAAAAAAAA
 
hizi cjui team nani,team nani c mpandishe team league kuu sasa mje kushindana na SIMBA na YANGA!!!Wanawake bana.....
 
Wema anaumia kuona mwenzie.anafaidi.
umeona eeh, halafu anaona miaka inasogea ndio kwanza penzi lao linazidi kunoga lazima achanginyikiwe, ukizingatia yeye hana bwana kazi kutobolewa tu kila siku *****, duh ila zari kiboko, tukomeshee kwanza huyu miss FEKERO, alizoea kuwachezea akina wolper na jokate, hajui wewe sio size yake, ahahahah zari juuuuuuuu, mama T juuu, My hubby UMELIPA TANESCO???? AHAHAHAHAAHAHA AHAHAHAHAHAHAH
 
Back
Top Bottom