Alwayz on top
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 706
- 268
Zari Ana 34 yrs wema tangu 2010 ana miaka 26 hakui huyoo eti Leo anamsema mwenzake mzee yeye je
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo wema ndo kazeeka hadi papuchi ndio maana anashindwa kuzaa, mwenzio mzee ndio lakini anazaa kwa raha zake, yeye kijana mbona hazai? au ndo mwenzetu K yake imezeeka? ahahaa dadaduuudaaaaa, azae na yeye kama sio mzee maninaaa, miss fekero mwaka wake huu kumanina zake, ana fake mpaka mimba, uwiiiiiiii sitaki mie , mujini pazuriiTeynaaaaa,huyu bibi kizee nae leo kalikoroga.
Asiyekaa alee watoto wake wanne anahangaika na Wema.
Hujielewi hiyo unayoleta Ni formal meaning ya Uswahili.
kuhamisha Goli hapa hatupo kujadili Maana halisi ya Mswahili.
Jibu unalo mtu akikwambia mswahili anamaanisha nini.
ndo maana alivyoitwa huyo Zari Mswahili ukareact kuleta video za Wema alivyo mswahili ukamuita Mzungu kama joke sasa unabadili so maana from informal meaning kuleta kwenye Formal Meaning ya Mswahili.Mshajua akili yako kumbe nawe Mswahili.
Jioni Njema.
Hivi mtu mzima anazaa? huyo wema mtoto mdogo ila kashaenda menopause *****, zari mpaka kesho akitaka kuzaa anazaa,mwambien huyo bibi bomba wenu ashike mimba kama anaweza, kazi ku fake tu kila kitu *****Zari nae mswahili sana
Sijui.anatafuta kiki mavi....yaani nilidhani wema anapenda kiki ila hajamfikia zari hata kidogo. Halafu mtu mzima hebu alee watoto. Mama wa watoto 4 unapata wapi muda wa kukimbizana na visichana insta?
Wazazi wa siku hizi mkoje?
Wanawake wa siku hizi kungwi wenu nani????
Wewe mpuuzi hebu kaa mbali na mimi,nakuona tu unavyonichokonoa nimekaa kimya sasa unataka kunipanda kichwani.Na mkurupukaji namba moja ni wewe!!! Hujui nini halisia kinachoendelea mtaani unashupalia tu post za instagram.!! Uliza mtaani huku nn kina happen ndio utajua kwann Zarinah anareact namna hiyo!!! Huyo mlimbwende unayemsifia humu ni bogus kabisa, she doesn't know how to let go..
Ni muendelezo wa vita ya maneno isiyoisha kati ya anayejiita Zari The Bosslady na wa kuitwa Tanzanians sweetheart Wema Sepetu.
Vita hiyo imeendelea leo kwa Zari kuanza kumtupia mafumbo mwenzie Wema,wapambe wa Wema wakacharuka na kumuita boss wao Wema ambaye alitaharuki na kuuliza kipi kinachoendelea?
Ndipo mpambe wake anayejiita wemareplies alipomuwekea screen shot ya aliyoyasema Zari.
Wema nae akajibu huku akisisitiza hana muda na Zari wala kaka (Diamond)
Kama haitoshi akapost picha huku akiweka caption ya kuwa kafunzwa na mamie kugombana na watu wazima (Zari) ni kukosa adabu.
Ndipo Zari nae akamjibu kuwa yuko busy na kazi,asijisumbue.
Nimeatach na screen shots za matukio yote.....
Haha sukuhiz kuingia instagram imekua ni lazma kama kuingia chooni daily, usipoingia unaona umis kitu flani aseTeh teh ! Basi watakuwinda muda sio mrefu ....mimi nachekaga sana hizi team wema,team kiba ,team diamond wanavyoparuana ,hivi Magufuli akiamua kuleta ubabe wa PYONGYANG akazifungia Instagram na kina Facebook kuna watu watalazwa hospital kama vile wamepatwa na bomoa bomoa
Ubuyu una raha yake
Wema anamtaka sana diamond, ndio maana kila siku anahangaika kutafuta wanaume FAKE hili amrushe roho diamond, kajaribu kwa yule mwanamitindo wa rwanda kashindwa,kajaribu kwa idris napo pamebuma, akili yote ipo kwa domo *****, uwiiiii mam ubaya acha kufake lifeTatizo we nawe inaonekana unamfahamu wema wa kwenye mitandao tu humjui wema halisi!! Yule binti ana roho ya ajabu sana na nimchonganishi sijapata kuona.. Wema amefika point mpaka anawalipa waandishi wa magazeti ya udaku wamchafue zari na dogo D!! Kama ni uvumilivu ni D na mkewe ndio wavumilivu lakini sio huyo binti yani ameunda hadi kanetiweki chake cha watu kwa ajili ya kumchafua dogo D.. Kiufupi huyu binti ni mkorofi sana na hajitambui so sishangai kama mwenzake naye amereact kwa hasira na kumtukana..
Wewe mpuuzi hebu kaa mbali na mimi,nakuona tu unavyonichokonoa nimekaa kimya sasa unataka kunipanda kichwani.
Mimi nimeleta habari kama ilivyo Instagram,wewe hayo yako ya mtaani unayoyajua si ulete uzi wako?
Nani alokukataza?
Hivi wema jamani umri wake hausogei ? Maana tokea namjua kipindi hiyo Academic mimi navuta kamasi sasa hivi ni jibaba ,wema hata 30 ajagonga ??Siwafagilii wote Ila Mama wa Miaka 42 kujibishana ma mwanao wa Miaka 26 ni Aibu,a mother of four children.
Sasa wema atazaaje wakati kizazi hana? mwenzenu anatamani sana kulea ndio maana kila siku analea mbwa, zari anamuumiza sana wema kwa mengi, mwenzie anazaa wee yeye hata mmoja hana kazi kufuga mbwa, unadhani mama ubaya hapendi kuzaa? tatizo kizazi hana, mwanamke jina tu na papuchi ahahahhah ahahahhahaahahahah WEMA MGUMBAAAAAAAAAAAAAFour kids
Anapata muda wa kukimbizana na kina wema wasio na watoto...ambaye hawazi kesho ya mwanae..... hawazi mwanae kavaa nguo gani....kaenda au hakwenda shule...kaamkaje....kafanya homework........ pyeee
umeona eeh, halafu anaona miaka inasogea ndio kwanza penzi lao linazidi kunoga lazima achanginyikiwe, ukizingatia yeye hana bwana kazi kutobolewa tu kila siku *****, duh ila zari kiboko, tukomeshee kwanza huyu miss FEKERO, alizoea kuwachezea akina wolper na jokate, hajui wewe sio size yake, ahahahah zari juuuuuuuu, mama T juuu, My hubby UMELIPA TANESCO???? AHAHAHAHAAHAHA AHAHAHAHAHAHAHWema anaumia kuona mwenzie.anafaidi.