Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Wewe mpuuzi hebu kaa mbali na mimi,nakuona tu unavyonichokonoa nimekaa kimya sasa unataka kunipanda kichwani.
Mimi nimeleta habari kama ilivyo Instagram,wewe hayo yako ya mtaani unayoyajua si ulete uzi wako?
Nani alokukataza?
Na ndio akili yako inapoishia hapo!! Kwahiyo ulitakaje yani, tuanze kukusupport kuwa Zarinah mtu mbaya Alafu mlimbwende wenu ndo mtu poa????
Na sijaanzisha uzi coz sijaona umuhimu wa kufanya hivyo ila wewe uliyeona umuhimu wa kuanzisha uzi na kuanza kukandia watu bila kuelewa what's real going on, inabidi tukurekebishe..
Alafu relax, humu ni mtandao wa kijamii tu sio bungeni! Usipaniki sana utakuja kujipa presha tu.!! Matusi ya nini..!! #don'tBother
 
Kwa hilo fifty fifty tena bora kik za zari ni za kweli anachofanya ni show off sio mama wa fekelo fake house, fake cars, fake mimba fake harusi
ahahahah dah ila wema kiboko, kwa ku FAKE tu nampa nambari one, abadilike bwana aache ulimbukeni, hivi binamu una ile clip ya wema akitangaza kanunua nyumba ya mil 400,? yan ndo naicheki hapa nimecheka mpaka nimejamba jaman, huy wema kazid aisssh kahaa
 
Kama Vipi Niuzie Mimi Hilo BIFU Nimalizane Nae Na Wewe Upumzike au? Yaani Sijui Kwanini Napenda " Ligi ".
Uwiiiiiii ndio maana nakupendaga ujue?Halafu watu wanajiuliza nakupendea nini?Ndio mambo kama haya.
NIMEKUUZIA rasmi,naomba unisaidie kumnyoosha huyo popoma....
Hahahahahaa uwiiiiii nitachekaje leo?
Kaingia cha kike huyo,acha aisome namba.
 
binamu miss youuuu, hivi ile clip ya mama ubaya akijinadi kanunua nyumba kijitonyama ya mil 800 unayo? uwiiiii mbavu zangu hapa jaman nimecheka mpaka nimejamba kwa nguvu, khaaa kweli zari kapatia kumuita wema MISS FEKERO, maana u fake kauanzia mbali, hajhahahahah dadaduuuuuudaaaaaaaaaaaaaahhhh

Simtetei wema lakin kwaninj zari asijikalie ye si anaukali kila siku alaaaaaaa,wema nae ni mpuuzi lakin zarj amuache wema
 
Na ndio akili yako inapoishia hapo!! Kwahiyo ulitakaje yani, tuanze kukusupport kuwa Zarinah mtu mbaya Alafu mlimbwende wenu ndo mtu poa????
Na sijaanzisha uzi coz sijaona umuhimu wa kufanya hivyo ila wewe uliyeona umuhimu wa kuanzisha uzi na kuanza kukandia watu bila kuelewa what's real going on, inabidi tukurekebishe..
Alafu relax, humu ni mtandao wa kijamii tu sio bungeni! Usipaniki sana utakuja kujipa presha tu.!! Matusi ya nini..!! #don'tBother

Teh teh teh....
 
Kwanza wema amepata nyumba ya kuishi?
ahahaah ahaha jaman wewe leo nacheka mpaka najamba, uwiiii siku hiz sijui anakaa wapi, super sta yule kila siku anabadilisha tu nyumba za kupanga, hiv umeicheki ile clip anayojitangaza kanunua nyumba? jaman nairudia hapa nacheka kama chizi, huyu wema atakua mgonjwa hakyamungu sio mzima
 
Hivi we mamito hauna kazi ya kufanya? Jiulize kidogo, Wema na Zari wanatuhusu nini watanzania?
Tukuulize wewe kama hayakuhusu unafuata nini humu kama sio umbea?? mxiee ebu tuache tumchambe mis FEKERO mpaka ahame jiji
 
Uswahili niii....kuiba umeme
Uswahili niii....kusema mtoto wa mwenzako mbaya wakat huna unalea vijibwa tu kwako
Uswahili nii....
ahahahaaaaa umesahau Moja, USWAHILI NI KUJIOA MWENYEWE NA KUDANGANYA UMEOLEWA
 
ahahaah ahaha jaman wewe leo nacheka mpaka najamba, uwiiii siku hiz sijui anakaa wapi, super sta yule kila siku anabadilisha tu nyumba za kupanga, hiv umeicheki ile clip anayojitangaza kanunua nyumba? jaman nairudia hapa nacheka kama chizi, huyu wema atakua mgonjwa hakyamungu sio mzima
Uwiiiiii hucheki kama mimi binamu,yaani nacheka kama mwendawazimu.
Na hapa naandaa mbavu vizuri maana nimemkabidhi kazi mkali wangu wa hizi kazi GENTAMYCINE..... leo hapalaliki aisee.
 
Huyu wema ni kiboko aisee Ana wafuasi lukuki Kama chief kibwetele enzi za ukoloni......karibu 90% ya wasichana bongo ni wafuasi wake nilikua na girlfriend wangu muda wote Mara wema kafanya hiki, Mara kile na ukitaka mgombane mdiss wema, that's shit
 
Hahahahahaha siku zote nikuwa nasoma coment zako nikawa nakuona wa maana sana kumbe hakina kitu eti magari yaliyoandikwa zari ..... Hayo magari anayo insta ila physically hana.... Kuna wengine wanafanya matangazo ya makampuni na wanalipwa poor Tanzanians
Ukiniona wa maana unaniongezea nini na Ukiniona Sina maana unanipunguzia nini? Kwa mfano......
 
Back
Top Bottom