Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hata lulu sio level yake yule mtoto ni mdogo ila ana akili kama mchwa, kwa umri ule ana nyumba, amemjengea na mama ake ana usafiri na biashara zake wema wenzie kina auntyZari kamshinda wema kwa kila kitu
Uzuri
Mali
Watoto
Exposure
Nidhamu
Wife materials
Hiyo chepeo akapambane na akina diva na akina lulu
Huyu wema ni kiboko aisee Ana wafuasi lukuki Kama chief kibwetele enzi za ukoloni......karibu 90% ya wasichana bongo ni wafuasi wake nilikua na girlfriend wangu muda wote Mara wema kafanya hiki, Mara kile na ukitaka mgombane mdiss wema, that's shit
Hahahahaa shoga umenikumbusha nasikia aunt ni 'majalala' mbaya!Hata lulu sio level yake yule mtoto ni mdogo ila ana akili kama mchwa, kwa umri ule ana nyumba, amemjengea na mama ake ana usafiri na biashara zake wema wenzie kina aunty
Ha ha ha ha ha ha ha ha nyoooo unavosema meno ya zari kwani ye hajaumbwa? Viguu vya wema kama cotton budsalieumba haumbui,hata kijiko hujui kutengeneza ukute
Naskia kajichokea hana mbele wala nyuma kama mche wa sabuniHahahahaa shoga umenikumbusha nasikia aunt ni 'majalala' mbaya!
Mhh unahasira sana..hahahaha
Ha ha ha ha ha ha ha ha nyoooo unavosema meno ya zari kwani ye hajaumbwa? Viguu vya wema kama cotton buds
Sorry sio daraja ni faraja kotaUzuri ni asset kwa mtoto wa kike mwisho wa wema lazima i
Utakuwa mbaya tu km akina norah na sinta! Wanawake maceleb wanaojitambua
1.klynn
2.zari
3.Nancy
4.daraja
Huyo wema kila siku kumpa faida shigongo! Kipindi yuko na d angemshawishi watengeneze muvi wangeuza kweli!
Hahahahaa shoga umenikumbusha nasikia aunt ni 'majalala' mbaya!
Khaa nilijua mpo timu tofauti hahahahhahaNaskia kajichokea hana mbele wala nyuma kama mche wa sabuni
Nifah ni simba mi yanga ila hapa tunacheza kama taifa stars you know wora am sayinKhaa nilijua mpo timu tofauti hahahahhaha
Hizo akili azitoe wapi? Hana akili yule alishindwa kumtumia diamond akawa anapanda stejini ka kina iyobo nae anakata kiuno kama dancer hadi mbunye inabaki nje......Uzuri ni asset kwa mtoto wa kike mwisho wa wema lazima i
Utakuwa mbaya tu km akina norah na sinta! Wanawake maceleb wanaojitambua
1.klynn
2.zari
3.Nancy
4.daraja
Huyo wema kila siku kumpa faida shigongo! Kipindi yuko na d angemshawishi watengeneze muvi wangeuza kweli!
Nifah ni simba mi yanga ila hapa tunacheza kama taifa stars you know wora am sayin
Sasa wema mbona kashindwa ye kuomba kwa ma x ili alipe hata umeme
Sasa wema mbona kashindwa ye kuomba kwa ma x ili alipe hata umeme