Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kwahiyo as a mother ndio kuchambana instagram na kurushiana vijembe?
Kweli wamama wadigital wana mambo.
Wasimseme mtoto wake vibaya yy kama mama anaumia." Tiffa can't talk or understand anyting sio sawa kumsema. Wanatakiwa wadeal na mama yke bt not Princes T.
 
Akili anayo ndio mana kaanzisha biashara yake yake ya lipsticks(superwoman) na sio kutegemea X wake kumlisha na mashauzi juu km boss wenu Zari. Mnataka Wema afanye mashauzi ya pesa za kupewa km mwanzo kisha aje aadhiriwe na kunyang'anywa vitu km mwanzo.

Zari wenu amedhalilishwa na Ivan anapewa pesa na bado hakomi na ontop anajifanya anampenda Diamond.
Katika biashara ile nayo biashara ukilinganisha na jina lake?fremu za kichochoroni zile ambayo hata Malaya wa kimboka anafungua.Tatizo team yake inampa sifa asizokuwa nazo mwishowe madeni tanesco....Mara range yakukodi
 
Akili anayo ndio mana kaanzisha biashara yake yake ya lipsticks(superwoman) na sio kutegemea X wake kumlisha na mashauzi juu km boss wenu Zari. Mnataka Wema afanye mashauzi ya pesa za kupewa km mwanzo kisha aje aadhiriwe na kunyang'anywa vitu km mwanzo.

Zari wenu amedhalilishwa na Ivan anapewa pesa na bado hakomi na ontop anajifanya anampenda Diamond.
Hizo lipstick kauza jina kama kidoti alivouza jina kwa mchina lipstick za kiss ni mali ya Mr problem solved
 
Kwahiyo as a mother ndio kuchambana instagram na kurushiana vijembe?
Kweli wamama wadigital wana mambo.
Zari nae ana moyo bana Heeee mbona me mama ila hadi sa hizo niko jf napiga umbea ha ha ha ha ha
 
Hizo lipstick kauza jina kama kidoti alivouza jina kwa mchina lipstick za kiss ni mali ya Mr problem solved
Wanampa sifa za kijinga....huyo problem sorver anajuta coz alivyotarajia sivyo.Sidhani kama return ya biashara imemnufaisha.Team zake wanamuharibu,I do like her ila hana washauri wazuri o hashauriki.
 
Wasimseme mtoto wake vibaya yy kama mama anaumia." Tiffa can't talk or understand anyting sio sawa kumsema. Wanatakiwa wadeal na mama yke bt not Princes T.
Ni nani asiyesemwa vibaya?Yule Zari na huyo mwanae ni maceleb tayari,mambo kama hayo ni kawaida sana.
Anasemwa Beyonce na mwanae Blue Ivy ije kuwa yeye bwana?
Bado sijaona sababu nzito ya kumtoa povu Zari.
 
Ni nani asiyesemwa vibaya?Yule Zari na huyo mwanae ni maceleb tayari,mambo kama hayo ni kawaida sana.
Anasemwa Beyonce na mwanae Blue Ivy ije kuwa yeye bwana?
Bado sijaona sababu nzito ya kumtoa povu Zari.
Basi sababu labda ni Uzuri wa Wema na utajiri wake teh teh
 
Katika biashara ile nayo biashara ukilinganisha na jina lake?fremu za kichochoroni zile ambayo hata Malaya wa kimboka anafungua.Tatizo team yake inampa sifa asizokuwa nazo mwishowe madeni tanesco....Mara range yakukodi
Kwi Kwi Kwi miss Tanzania ana duka la lipstick
 
Wema nae toto jinga
Nyie mnao mwita Wema mtoto ndio mnazidi kumuharibu aendelee kuwa mpuuzi, ana utoto gani kama alikiri mwenyewe katoa mimba ya marehemu kanumba? Kazidi miaka 25 anaelekea 30 bado mtot, ndio maana alitoa mimba ili asizae kwa kuwa nae ni mtoto? Aelezwe ukweli tu nae ajiongeze maisha ya fake, fake, fake hayatamsaidia anashindwa hata na LULU? Lulu mwenyewe ana fight na hataki kuitwa mtoto, huyu mama ubaya eti mtoto, mtoto, anapakata baba zake kwa foleni na anawatoa jaso bado mtoto, sifa mbovu hizi.
 
Back
Top Bottom