Ha ha ha mie mtoto lulu kanizidi miaka miwiliShost hata we hapo mtoto kwani ushazaa??? Tih tih tih
Kama anajua hayo yote angeacha kumtukana tiffah, mwache akomeshwe mgumba huyo, si alijitangaza mwenyewe alitoa mimba so what?Umenena mkuu, usitukane kilema cha mtu hata siku moja, na ugumba au utasa ni pigo sana kwa maisha ya kila mtu, hapa tunapita wengi matasa, wagumba si vizuri kutiana simanzi. Ajabu kuna wengine wanasema hili wakati bado hawaj beba hata mimba ikatoka, kazi ya Mungu tumuachie Mungu turekebishane TABIA si maumbile,.
Buku tatu kwa siku kama wanavyo lipwa buku 7 Lumumba Fc!!mambo ya team hayo ivi hao team wanalipwaga monthly salary au wanapewa vocha na wahusika au ni kazi ya kujitolea?
...Kazi mnayo WABONGO,
...hahahahahaha..WABONGO si ndio WATZ ,eeeh,haya makitu mnayaweza sanaWe mchina??
mmh huyo zari kweli mbona alieandika ni diamondBomu jipya kutoka kwa mama T, amuonya mrembo wema sepetu aache kuulizia DNA ya mtoto wake badala yake akapime ultra sound ya mtoto ambao anadai amembeba tumboni mwake, mrs T aliendelea kutiririka na kumtaka wema sepetu akashindane na level zake sio yeye
Lulu at lest ana akili na naona bright future kwake.....huwezi kumfananisha na Wema.Ha ha ha mie mtoto lulu kanizidi miaka miwili
Yaani kutoa mimba anaona kama jambo la kawaida....ni hatari aisee.Kama anajua hayo yote angeacha kumtukana tiffah, mwache akomeshwe mgumba huyo, si alijitangaza mwenyewe alitoa mimba so what?
hahahahahaha bibi bombaFake life ✔
Fake car ✔
Fake house ✔
Fake mahips ✔
Fake tears ✔
Fake utoto ✔
Fake business ✔
Fake boyfriends ✔
Fake harusi ✔
Fake mimba ✔✔
Mtaje mtu huyu.