AiseeeDNA imemtouch ahahhah mtoto hafanani hata robo zari muhurumie diamond jamani
Kwenye kugawa mbona wote wanagawa,alivyokua akija dar kwa kina katunzi alikuja kufanya whiteparty au,kuingia leba sio tatizo leba hata mbwa anaingia anajifungua akwendreeeeeeeeee alete DNA mbona utrasound walituonyesha Dna ina ugumu ganiii helooo halualaaaa
Yaaani huyu bibi anazeeka vibaya mweee..ukigusia DNA tuu anafura kama simbaa mfyuuuuDNA imemtouch ahahhah mtoto hafanani hata robo zari muhurumie diamond jamani
Kwenye kugawa mbona wote wanagawa,alivyokua akija dar kwa kina katunzi alikuja kufanya whiteparty au,kuingia leba sio tatizo leba hata mbwa anaingia anajifungua akwendreeeeeeeeee alete DNA mbona utrasound walituonyesha Dna ina ugumu ganiii helooo halualaaaa
22Wema amezaliwa mwaka 1988,
Sasa mnaweza kupiga hesabu now ana miaka mingapi,
Yaaani huyu bibi anazeeka vibaya mweee..ukigusia DNA tuu anafura kama simbaa mfyuuuu
Hivi wewe ni ME au KE??Sasa unatokaje South Africa Johannesburg kwenye mansion unaenda kuishi nje ya dar porini kwenye kijumba kilichopo kwenye mkondo wa maji.. Huu kama si ukichaa ni nini?? Ameacha kuuza vipodozi na maunga sikuhizi anashinda kwenye mitandao kutukanana na wanawe
Bomu jipya kutoka kwa mama T, amuonya mrembo wema sepetu aache kuulizia DNA ya mtoto wake badala yake akapime ultra sound ya mtoto ambao anadai amembeba tumboni mwake, mrs T aliendelea kutiririka na kumtaka wema sepetu akashindane na level zake sio yeye
Figure it out beatchHivi wewe ni ME au KE??
Niwie radhi kama swali litakukera.
Kabla ya yote naombeni mods mbadilishe hii heading, kumbukeni hili jukwaa linapitiwa na watu wa nchi mbalimbali na kada mbalimbali.
Madame range ndio nani?Msiwape watu taabu ya kujiuliza maswali wakashindwa kuelewa post inaongelea nini kwa heading mbovu.
Nirudishieni heading yangu au mbadilishe hapo kwenye range muweke Wema.
Invisible Paw Moderator
Menopause inampeleka puta bibi.... Ana mda wa kufwatilia mpaka mbwa wa wema anaitwa nani? Nahitaji kujua maana ya bosslady .... Zari ana level gani jaman? Alijaribu kuwa na level enzi za ivan ila sasa hiv hana lolote levels kina mrs Mengi hawana time na vijembe mxiewwww levels my footBomu jipya kutoka kwa mama T, amuonya mrembo wema sepetu aache kuulizia DNA ya mtoto wake badala yake akapime ultra sound ya mtoto ambao anadai amembeba tumboni mwake, mrs T aliendelea kutiririka na kumtaka wema sepetu akashindane na level zake sio yeye
Kwa habari za aina hii ni wewe tu wa kukutafuta jf...bigupNapitwaje sasa?Hii ndio raha ya kuishi mujini (umbea).
Kijijini kulima tu
kafanana nae bhana acha roho mbaya.DNA imemtouch ahahhah mtoto hafanani hata robo zari muhurumie diamond jamani
Kwenye kugawa mbona wote wanagawa,alivyokua akija dar kwa kina katunzi alikuja kufanya whiteparty au,kuingia leba sio tatizo leba hata mbwa anaingia anajifungua akwendreeeeeeeeee alete DNA mbona utrasound walituonyesha Dna ina ugumu ganiii helooo halualaaaa
kafanana nae bhana acha roho mbaya.