Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

DNA imemtouch ahahhah mtoto hafanani hata robo zari muhurumie diamond jamani
Kwenye kugawa mbona wote wanagawa,alivyokua akija dar kwa kina katunzi alikuja kufanya whiteparty au,kuingia leba sio tatizo leba hata mbwa anaingia anajifungua akwendreeeeeeeeee alete DNA mbona utrasound walituonyesha Dna ina ugumu ganiii helooo halualaaaa
Aiseee
 
DNA imemtouch ahahhah mtoto hafanani hata robo zari muhurumie diamond jamani
Kwenye kugawa mbona wote wanagawa,alivyokua akija dar kwa kina katunzi alikuja kufanya whiteparty au,kuingia leba sio tatizo leba hata mbwa anaingia anajifungua akwendreeeeeeeeee alete DNA mbona utrasound walituonyesha Dna ina ugumu ganiii helooo halualaaaa
Yaaani huyu bibi anazeeka vibaya mweee..ukigusia DNA tuu anafura kama simbaa mfyuuuu
 
Yaaani huyu bibi anazeeka vibaya mweee..ukigusia DNA tuu anafura kama simbaa mfyuuuu

Kama uchi wake unaonekana muda wote ukitaka uuone dunia nzima DNA inamshinda niniiii,washajitahidi kulinganisha picha lakin wapiii Zari kashikwa pabayaaaaaaaa
 
Sasa unatokaje South Africa Johannesburg kwenye mansion unaenda kuishi nje ya dar porini kwenye kijumba kilichopo kwenye mkondo wa maji.. Huu kama si ukichaa ni nini?? Ameacha kuuza vipodozi na maunga sikuhizi anashinda kwenye mitandao kutukanana na wanawe
Hivi wewe ni ME au KE??
Niwie radhi kama swali litakukera.
 
Bomu jipya kutoka kwa mama T, amuonya mrembo wema sepetu aache kuulizia DNA ya mtoto wake badala yake akapime ultra sound ya mtoto ambao anadai amembeba tumboni mwake, mrs T aliendelea kutiririka na kumtaka wema sepetu akashindane na level zake sio yeye

Duuuh kwahiyo swiss ndio anampiga show boss wke......hpo kweli lazma wema awe kichaa saa zingine kumchokoza mtu ni kujivua nguo 2
 
Kabla ya yote naombeni mods mbadilishe hii heading, kumbukeni hili jukwaa linapitiwa na watu wa nchi mbalimbali na kada mbalimbali.
Madame range ndio nani?Msiwape watu taabu ya kujiuliza maswali wakashindwa kuelewa post inaongelea nini kwa heading mbovu.
Nirudishieni heading yangu au mbadilishe hapo kwenye range muweke Wema.
Invisible Paw Moderator

Hivi wema alishapewa talaka yake n mumewe jumbe teja.....kma bdo inabidi team yke wadai hiyo talaka mana alishindwa funga ndoa 2014 ikabidi afake kua kaolewa....mimi n uhakika madam sio mgumba anatakiwa apate bwana mfungwa aliekaa jela miaka 10 mwenye mbegu zenye kutu lazma mimba inase
 
Bomu jipya kutoka kwa mama T, amuonya mrembo wema sepetu aache kuulizia DNA ya mtoto wake badala yake akapime ultra sound ya mtoto ambao anadai amembeba tumboni mwake, mrs T aliendelea kutiririka na kumtaka wema sepetu akashindane na level zake sio yeye
Menopause inampeleka puta bibi.... Ana mda wa kufwatilia mpaka mbwa wa wema anaitwa nani? Nahitaji kujua maana ya bosslady .... Zari ana level gani jaman? Alijaribu kuwa na level enzi za ivan ila sasa hiv hana lolote levels kina mrs Mengi hawana time na vijembe mxiewwww levels my foot
 
Hahahahahaha

UNAJUWA MDA MWINGINE HAWA WATU WANATUENJOY TU NA KUFANYA WATU WATOKWE MAPOVU NA KUPANICK

Binadamu ni wanafki saana, mara zote nguvu kubwa na attention inawekwa kwenye vitu negative, kwanini mastaa wasifanye vitu negative ku boost kazi zao kwa mtindo huo???

Wema akitoa movie, ikija kufunguliwa thread hata kupita kuangalia maelezo wanakuwa wachache sana, na comments mbili tatu tena za kejeli, lakini ikitokea kasutana na mtu tunajazana saana as if bill ya msosi tokea tar 1 tunasimamia sisi hahahaha.. The same goes kwa wakina mziwanda, wakitoa ngoma no support na wachache sana wanasumbuka kufuatilia ila itokee kachora tatoo nyingine ya shishi baby people cares

Wacha movie iendelee, basis of all these sio team wema wala team zari, ILA NI UMBEA WA WATANZANIA...
 
DNA imemtouch ahahhah mtoto hafanani hata robo zari muhurumie diamond jamani
Kwenye kugawa mbona wote wanagawa,alivyokua akija dar kwa kina katunzi alikuja kufanya whiteparty au,kuingia leba sio tatizo leba hata mbwa anaingia anajifungua akwendreeeeeeeeee alete DNA mbona utrasound walituonyesha Dna ina ugumu ganiii helooo halualaaaa
kafanana nae bhana acha roho mbaya.
 
Jamani bibi kujiedit bibi kudeka ukishamaliza yoteeeeee tuwekee DNA na ikiwa fake mbona tutaenda hadi hospitali chezea wambea wewee japo hatukusaidii kulea ,DNA baby
 
Ila hiyo ya fake,fake,fake.....mbona kama ina kaukweli hivi
maana mwezi huu utaskia fulani mwezi ujao mwngine katoka sijui namibia mara...dah
 
Back
Top Bottom