Hebu nitafute tupate walau dinner leo,sio kwa kunifurahisha huku.Daah ! .... Dimond ana roho ngumu ! demu wa kelele na ugomvi simuwezi kabisaa ! Zari ni mzaramoo wa Msanga Ngongelee kabisaa !View attachment 317735
Naileta sasa hivi,nipe dakika 5.Hebu weka ile picha zari ana michiriziii nenda kwa udakutz ipo halaf iweke humu,aliendaga thailand kufanyiwa surgery akasahau kulifanyia na komwe na kutengeneza meno
Najua kuna watu nawaudhi mnivumilie )
Naileta sasa hivi,nipe dakika 5.
Mkuu nishamtema long time aisee mwanamke yeye full time anawaza insta utafikiri mfanyakazi wa hukoHilo nalo jipu unatakiwa kulitumbua mimi nikiwa na mwanamke hajali career yake kutwa kuongea mambo sijui flani kafanya hivi sijui flani mtu wake ana hela sijui wema au jokate wapo hivi nina principle yangu kubwa nayo ni kuanza kumpuuza mpaka anajua hapa sina changu anaanza kuondoka mwenyewe nyambafuuuuu
Tofauti yao mmoja amezungusha papuchi Tanzania mwingine kaisambaza africa na papuchi yake inaonekana dunia nzima....hapo kunammoja kamzidi mwenzie.
Mkuu nishamtema long time aisee mwanamke yeye full time anawaza insta utafikiri mfanyakazi wa huko
Wee jamaa ni mnafiki kama shetani Mwenye ujauzito wa miezi 6!! Mbona wewe 24/7 upo jf au wewe ni Moderator wa jf??Mkuu nishamtema long time aisee mwanamke yeye full time anawaza insta utafikiri mfanyakazi wa huko
Wema sepetu kaharibu dili LA whitepart LA Zari!! Sepetu manager campen wa ccm uchaguzi 20015 kachoma kwa wakubwa hilo tamasha lisifanyike ndani ya ardhi Tz!!! Zari kapanic anamwanga povu kama hana akili nzuri!! Tofauti na hapo mtapigwa mabomu tu hamna
Mhh maneno makali jaman..punguza hasiraAtawadanganya hao hao....hana nyumba wala ushuzi,kapanga huko ununio.Asubiri **** imshuke kama sikio la tembo ndo atajua kumbe **** inazeeka.
Lulu ana akili mnoooo yani akili za lulu angekua nazo wema uwiiiiii angekua mtu mwingine kabisaLulu at lest ana akili na naona bright future kwake.....huwezi kumfananisha na Wema.
Bibi kakuzalia nani mfyuuuuuuYa kwa sababu ni bibi ni kweli sio level zake
Bossy lady unafanyiwa ukuwadi na sintah kweli khaaa yule ni Housegirl tu sasa kwa Ivan analea wale watoto wakishafika 18 ni bye bye na kwenye nyumba anatimuliwa...uwo mda ulobaki mchache angande Dai amjengee hata kibanda cha kujistiri lakini yule mtoto wa tandale ni mjanja anataka kula papuchi ya bure tu
We bibie, hivi hizo team ndo zikoje?Mi mwenyewe najua zuri huwa halianzishi bila kuchokozwa
hivi we baba unapenda wangapi humu aghrrrr naomba talaka japo najua mchepuko hauna talakaAna heri mwanaume aliye/atakaye kuoa. Mwanamke mbea anakuwaga mtyamuuuu...
Narudi kitandani...
Kweli ee kuweni wazi watu wajichanganye kama kna poshoha ha ha hivi hizi timu wanalipwa jamani ? kama kuna malipo nifanyieni mpango nijiunge nipate pesa aisee
Kama yanga na simbaWe bibie, hivi hizo team ndo zikoje?