Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Huyo huyo shost......kapambwa Glammbox,kiatu million lakin certificate course tena three years.Can u imagineHuko malyasia sijui alisona nini labda alienda kusomea mapishi..... Rio huyu shoga kidawa?
Aaaaahaaaaa si kwa mashushu hayoWakati wanaandikishiana contract ulikuwepo, nyinyi ndio mnakazi yakutoa false witness mana mwenyewe kakwambia zake ww unang'ang'ania si zake, lol.
Hata km kaiza jina huoni km anaelewa thamani yake means jina lake ni brand. Hebu ww jaribu kuuza jana lako la Evelyn Salt. Hi hii hiii km huyojinunua mwenye
Wananufaika na kazi za watoto wao....mbona kama mama Lulu anakwambia **** yake imetoa chombo si mchezo tena wakumtunza coz **** ya mwanae inalipa.Halafu huyu mama Wema eti anajigamba na hilo umbo lake!!
Anasema ana miaka 57 lakini umbo kama la binti/ mtoto mwenye miaka 12!
Halafu mama mtu kugombana na marafiki wa mwanae ndo tabia gani hiyo?
Maturity level yake iko chini sana. Anaweza kuwa na miaka 57, 58, au 59 lakini akili yake ni yaka kabinti kenye umri wa miaka 15.
Sijaona shushu hapo huko ni kujitekenya na kucheka mwenyewe mie siamini uongo, ule uongo wa nyumba na harusi yatoshaaaaaAaaaahaaaaa si kwa mashushu hayo
Ha ha ha haya hongera kwa mwanadiplomasiaHuyo huyo shost......kapambwa Glammbox,kiatu million lakin certificate course tena three years.Can u imagine
Na kweli watu wasiojielewa wengi sana huwa ndp mashabiki wa wemaLazima wema ndio kalianzisha maana hana kiki yoyote hiv sasa c movie c dili anaishi kwa kiki/scandals
RoleModel wa madem wote wasiojielewa mjini
Ha ha ha mwanadiplomasia katishaHa ha ha haya hongera kwa mwanadiplomasia
Ha ha ha haihitaji elimu ya darasani kulielewa hili.Na kweli watu wasiojielewa wengi sana huwa ndp mashabiki wa wema
palipo na ukweli patasemwa na pia kwenye uongo patafunikwa#gotohell#Utakufa mdomo wazi mwana mjaa laana wewe.
Unataka kutuambia wewe ni mtakatifu sana? Sio vizuri kuhukumu wala kumuombea mabaya mwenzio.
Mimi Wema simpendi lakini katika hili la mtoto namuombea kheri.
Bado hajavaa sare na mashost ake sare sare hadi make up utadhani wazaramoMalaya mtamu mwenye elimu yake coz apart from huduma ya papuchi lakin unaweza ukapanuka kimawazo.Unakaa na mwanamke yeye mawazo yake kwenda americannails...mara escape one basi.Hakuna unachogain zaidi yakumwaga share.hawa
Ha ha ha yaani fulu uswahili....basi hao marafiki dumu nao,kila siku rafiki unagombana nao.Aiseee lipo tatizoBado hajavaa sare na mashost ake sare sare hadi make up utadhani wazaramo
Ha ha ha juice kola mixer sunvita....maana loooh.
Hahahaaaa mkuu unaniacha hoi kweli kweliHalafu huyu mama Wema eti anajigamba na hilo umbo lake!!
Anasema ana miaka 57 lakini umbo kama la binti/ mtoto mwenye miaka 12!
Halafu mama mtu kugombana na marafiki wa mwanae ndo tabia gani hiyo?
Maturity level yake iko chini sana. Anaweza kuwa na miaka 57, 58, au 59 lakini akili yake ni yaka kabinti kenye umri wa miaka 15.
Ha ha ha au tuendelee na lip bam zetu za buku buku
We jukwaa hili umeijia nini kama sio umbea hebu ishia ukaote juaWenzenu wanatengeneza hela nyie mmekalia umbea tu wabongo bana pumbafu..
Ana tatizo huyo ndo maana alishare dyudyu ya dada akeHa ha ha yaani fulu uswahili....basi hao marafiki dumu nao,kila siku rafiki unagombana nao.Aiseee lipo tatizo