Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Ha ha ha 57 ana figa km mtoto wa miaka 12 khaaa..wema asilaumie,kumbe shida ipo kwa bi mkubwa wake
 
Sijaona shushu hapo huko ni kujitekenya na kucheka mwenyewe mie siamini uongo, ule uongo wa nyumba na harusi yatoshaaaaa
Mi sijui kujitekenya nikiona chakunichekesha hucheka ... wewe huwa ndio unajitekenya kama yule mganda anavyojichomeka mipini huko chini nakutuonyesha mivuzi yake michafu.......
 
.Waache mastaa wafanye yao ya kuuza biasha ra na majina yao mana biashara sio lazima wote tuwe na office maisha ya siku ni ni to use more brain than kelele za ig, hebubtizama Kim Kadarshians anavyopeta nyie mmebaki ooh hana ferm na bla bla, na siku nyingine sio kila kitu udakie km uda mwisho aibu km hivi eti mm sio star si uliona kuuza jina kitu rahisi uza na lako na ww ujinunue, lol. Hakuna kitu kibaya km kumshuhudia mtu uongo. Km anadanganya ni yake ww yanakuhusu nini? Ww onyesha nyumba yako muache yy atudanganye sisi fans wake mana tunampendea huo uongo wake.Km kauza jina ni lake na ww uza lako.
Hiviamshangai fans tunazidi kumpenda na that's what called royalty, na nyie mpende superstar wenu hiiiii jiii ha ha ha ha ha
 
Hi hi hiiii, km kuwa na jina ukalifanya brand uza lako. Wivu mbaya ukishiriki utakufaaaa
Aaaaahaaaaa wivu .com kazi ipo yakumtetea malaya wa Africa.... Maana kashaimaliza bora uyu wetu bd anacheza mechi za ndani
 
Ndio apo chacha wamuache mtoto wawatu walivyokua na chuki nae mpaka wanadiriki kumkandia mtanzania mwenzao kwamtu wakuja khaaa
 
Hataree........ watajiju...... huku kijijni ni kazi tu
 
Uzi una Page nyingi sana lakini unaongelea mambo ya kijinga kabisa ambayo hayana faida yoyote kwa taifa hili tena utakuta mwanaume nae kashashidia mambo ya kipumbavu kama haya ndo hii nchi hatuna maendeleo maana wajinga wengi sana wanaowaza muda wote mambo ya kipumbavu na umbea muda wote nchi ina wajinga wengi.
 
Watu wengine bhana!! Diamond mwenyewe ameridhika na Tiffa wake! Bi Sandra ameridhika na Tiffa wake! Wakina Esma wote hawana tatizo na Tiffa! Lakini wanakuja kutokea watu baki kabisa; Wandengereko, Wamakonde, Wahaya, Wanyamwezi, Wasukuma n.k wasio na uhusiano wowote na muhusika lakini wao ndo wanakomalia DNA za mtoto!!! Halafu hata wakiwekewa sijui watakuwa na uwezo wa ku-verify ikiwa ni genuine au hapana!!!
 
Samahani imebidi nipitie kidogo hii thread naona imekwenda mpaka page 75 Lakini kweli wabongo tunapenda UDAKU Ndio Maana tunavijarida vingi vya UDAKU Kuliko Magazeti ya Maana na Yanauzikana kuliko Hard news Ndio maana tunakaa kupoteza Muda kujadili UPUZI Huu
 
Hahahahahaaaa
Ukisikia yalaaa ujue limempata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…