Kimenuka Instagram: Zari vs Wema Sepetu (Madam Range)

Ni ujinga sana kama kuwaza kuwa na miaka 34 ni UZEE!!!
No wonder watu kama hao kwao mtu akifikisha miaka 40 ndio anavunja record ya kuishi
 
Ama kwel haya mambo yanayojitokeza hko insta ndo yamedhihirisha kwa nn tanzania vilio vya umaskin vingi, yan watu wanadirik had kuhoj DNA za watoto wa wenzio qs if wao wanauhakika na baba zao halis! Lame them.....
 
Hivi ukimjua mtu humu jF afu ukamtaja ndo unakuwa umemdhalilisha?
Afu watu wakimjua ndio nini kwa mfano???
Statement za hivi huwa zinakera.
Ha ha ha bora anijue basi....kuna thread ilianzishwa ya tujikumbushe waliosoma Makongo,atakuwa ndo kanionea huko.
Hana jipya anatoka povu halafu an agenda PM kuomba ****,huwajuagi dizaini hiyo.
 
nifah nakujua ulivyombishii khaaa Hua hukubali kushindwaaa aisee mi mpaka Hua nakuacha,mi nipo instanakufwa mbavy
Hahahahaaa hebu niambie ni wapi huko na mie nikacheke?
Nimeona zile videos kwa nataka shari nimechekaje?
 
Reactions: Ilu
Hahahahaaa huna habari eeh?
Huyu mwanamke anajidai mjanja sana,eti anajidai kunisema kwa mafumbo....
Nikamjibu kistaarabu akataka kunipanda kichwani nami nikamnyea kabisa.
Habari ndio hiyo mamito.
Aiseeeee
 
mmmm jamani,huyu Zari hajiamini kabisaaaa hajui mwanamke kujiamini? kama bwana anae yeye sasa BP ya nini halafu anajitoa fahamu mtu mzima siju kama anajua anajiaibisha mbona ningekua mimi ningefanya yangu as long as mwanamme unae.....
 
mmmm jamani,huyu Zari hajiamini kabisaaaa hajui mwanamke kujiamini? kama bwana anae yeye sasa BP ya nini halafu anajitoa fahamu mtu mzima siju kama anajua anajiaibisha mbona ningekua mimi ningefanya yangu as long as mwanamme unae.....
Umeona eeeh?Hata mimi nashangaa.
Mimi mwenyewe najiamini na huo muda wa kuhangaika sijui na X zake naupatia wapi as long as babe ninae mie?
 
wambe

a kwa hili wamekuja bila break, hila kaka Dee wazee watamzeesha, atafute tu kinda mwenye joto nyuzi 30%C,
Hahahahahaa huwezi jua Diamond anavumilia sababu ya mtoto,ila game za nje mbona anapiga sana tu?
Tena vibinti vibichiii!
 
Hahahahaaa hebu niambie ni wapi huko na mie nikacheke?
Nimeona zile videos kwa nataka shari nimechekaje?

Hahahahh duller kazidiwq nimechekaje anaita watu wakamchambe kinglawrence uwiii
 
Leo kacheka kunani? hahhahah maana hakenuagi mweeee, maajabu
Hahahahahaa kucheka kwenyewe kacheka kiupande,ule upande mbovu aliopata ajali akiwa anagombea wanaume mbona haweki?
[/QUOTE]
 
Page ya 47 comments 924 ila evelyne Salt jiandae nakuchongea kwa Magu unapiga umbea muda wa kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…