Ni ujinga sana kama kuwaza kuwa na miaka 34 ni UZEE!!!Hayo ni maneno tu ya wajinga kumchafua, hawezi kuwa na mtoto amfiche Ivan asijue, na Ivan angejua angesha lisema zamani kwa kuwa yeye ndie alie achia hiyo video ya Zari. Haya ni maneno ya watu wanao ona kuzaa ni jambo la aibu na ndio wenye akili kama za Wema kutoa mimba eti usizae baado mdogo, ujinga mtupu.
Ha ha ha bora anijue basi....kuna thread ilianzishwa ya tujikumbushe waliosoma Makongo,atakuwa ndo kanionea huko.Hivi ukimjua mtu humu jF afu ukamtaja ndo unakuwa umemdhalilisha?
Afu watu wakimjua ndio nini kwa mfano???
Statement za hivi huwa zinakera.
Ha ha ha nothing behind the scene....ingawa kuna watu wamenipenyezea tabia zake PM nmemjua.JF raha sanaUkiona hivo ujue kuna behind the scene.Ila kuna watu wana maneno ya shombo
AiseeeeeHahahahaaa huna habari eeh?
Huyu mwanamke anajidai mjanja sana,eti anajidai kunisema kwa mafumbo....
Nikamjibu kistaarabu akataka kunipanda kichwani nami nikamnyea kabisa.
Habari ndio hiyo mamito.
a kwa hili wamekuja bila break, hila kaka Dee wazee watamzeesha, atafute tu kinda mwenye joto nyuzi 30%C,Hahahahaaa wewe nae kama sio mbea kilichokufanya usome hii post ni nini?
Umeona eeeh?Hata mimi nashangaa.mmmm jamani,huyu Zari hajiamini kabisaaaa hajui mwanamke kujiamini? kama bwana anae yeye sasa BP ya nini halafu anajitoa fahamu mtu mzima siju kama anajua anajiaibisha mbona ningekua mimi ningefanya yangu as long as mwanamme unae.....
Hahahahahaa huwezi jua Diamond anavumilia sababu ya mtoto,ila game za nje mbona anapiga sana tu?wambe
a kwa hili wamekuja bila break, hila kaka Dee wazee watamzeesha, atafute tu kinda mwenye joto nyuzi 30%C,
Hahahahaaa hebu niambie ni wapi huko na mie nikacheke?
Nimeona zile videos kwa nataka shari nimechekaje?
Is anything wrong?
hongera sana kwake zari kwa kuzaa kuliko angeamua kutoa mimba. unajua kutoa mimba ni ushetanisio wa nne ana binti first born kamficha. wanasema ubuyu uko njiani
Hahahahahaa kucheka kwenyewe kacheka kiupande,ule upande mbovu aliopata ajali akiwa anagombea wanaume mbona haweki?[/QUOTE]View attachment 318120nimeamini kweli huyu Bibi wema anamshuhulisha aaaaahaaaaa kaamua kupiga picha anacheka but why aaaaahaaaa
[/QUOTE]Hahahahahaa kucheka kwenyewe kacheka kiupande,ule upande mbovu aliopata ajali akiwa anagombea wanaume mbona haweki?