naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,083
Hivi Wema Ana utoto gani?ndio mnamtia ujinga anakula maisha anajiona bado kuandaa future!ukitaka kujua akili za dada zetu wengi soma huu uzi!unaweza kumuona dada smart lakini ikija issue ya Wema ndio huwa wanaonyesha rangi yao halisi;kuna rafiki yangu aliwahi kuniambia msichana hata awe mzuri vipi akimsifia Wema yeye inam turn off anamuona kicheche tuHuyo wema nae aache kuweka fake account na kutumia team zake kumtukana na mwanae