Kimenuka: Jipya laja, beki kisiki Dickson Job agoma kuongeza mkataba Yanga

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Mwaka wa sheitwan ,hizi ni za ndaaaaaaaaaaaani sana

[emoji871]Licha ya hapo awali kuelezwa Yanga wanambakisha Dickson Job lakini taarifa zilizotufikia mchezaji huyo bado hajasaini mkataba mpya aliyopewa na Yanga ambayo thamani yake ni milion 70 kwa miaka 2 ..inaelezwa Job bado hajasaini mkataba huo akidai ongezeko katika mkataba huo mpya.

[emoji871]Haijajulikana ni lini Job atasaini huo mkataba au atachukua maamuzi mengine, na Azam, wanamfuatilia kwa karibu na mazungumzo yameanza na wakala wake kipindi pia maongezi na yanga yanaendele
View attachment 2457104
 
Ni jambo la kawaida Kwa mchezaji anae elekea kumaliza mkataba, kama Yanga wangekua na presha wange msainisha kabla ya huu kwisha.
Kama Dickson ataona Yanga hakuna maslahi ni hakiyake kutafuta maslahi sehemu nyingine. Ndivyo Dunia ya mpira ilivyo.
 
Ni jambo la kawaida Kwa mchezaji anae elekea kumaliza mkataba, kama Yanga wangekua na presha wange msainisha kabla ya huu kwisha.
Kama Dickson ataona Yanga hakuna maslahi ni hakiyake kutafuta maslahi sehemu nyingine. Ndivyo Dunia ya mpira ilivyo.
Amri kiemba jana aliongea kitu kimoja cha muhimu sana kuhusu wachezaji na maslahi kama ulimsikiliza utamuelewa feisal
 
Naona mmeamua hii ndo iwe njia ya kujisahaulisha yanayoendelea katika msimamo wa ligi.

Niseme tu mchezaji kuhama timu moja kwenda nyingine ni jambo la kawaida kabisa.
Ila umeongea huku umejificha kwa woga..

Jambo la kawaida my foot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…