DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Mwaka wa sheitwan ,hizi ni za ndaaaaaaaaaaaani sana
[emoji871]Licha ya hapo awali kuelezwa Yanga wanambakisha Dickson Job lakini taarifa zilizotufikia mchezaji huyo bado hajasaini mkataba mpya aliyopewa na Yanga ambayo thamani yake ni milion 70 kwa miaka 2 ..inaelezwa Job bado hajasaini mkataba huo akidai ongezeko katika mkataba huo mpya.
[emoji871]Haijajulikana ni lini Job atasaini huo mkataba au atachukua maamuzi mengine, na Azam, wanamfuatilia kwa karibu na mazungumzo yameanza na wakala wake kipindi pia maongezi na yanga yanaendele
View attachment 2457104
[emoji871]Licha ya hapo awali kuelezwa Yanga wanambakisha Dickson Job lakini taarifa zilizotufikia mchezaji huyo bado hajasaini mkataba mpya aliyopewa na Yanga ambayo thamani yake ni milion 70 kwa miaka 2 ..inaelezwa Job bado hajasaini mkataba huo akidai ongezeko katika mkataba huo mpya.
[emoji871]Haijajulikana ni lini Job atasaini huo mkataba au atachukua maamuzi mengine, na Azam, wanamfuatilia kwa karibu na mazungumzo yameanza na wakala wake kipindi pia maongezi na yanga yanaendele
View attachment 2457104