Kimenuka: Jipya laja, beki kisiki Dickson Job agoma kuongeza mkataba Yanga

Kimenuka: Jipya laja, beki kisiki Dickson Job agoma kuongeza mkataba Yanga

Naona mmeamua hii ndo iwe njia ya kujisahaulisha yanayoendelea katika msimamo wa ligi.

Niseme tu mchezaji kuhama timu moja kwenda nyingine ni jambo la kawaida kabisa.
Sema ukweli,hujaumia?hujaumiaaaaaaaa???????
 
Sijui kwa Nini sioni shida maana kombe tutachukua ila hatari yangu ni Moja TU kama Azam ameweza kuingia kirahisi kwenye meza ya maamuzi ya Yanga na kumchukua fei basi Khali si sawa huko tuendako
 
Naona mmeamua hii ndo iwe njia ya kujisahaulisha yanayoendelea katika msimamo wa ligi.

Niseme tu mchezaji kuhama timu moja kwenda nyingine ni jambo la kawaida kabisa.
Sema ukweli,hujaumia?hujaumiaaaaaaaa???????
 
Aziz ki kamaliza hela zote haiwezekani yule chai jaba apate hela nyingi kuliko feisal na Dickson job wakati magoli yake mengi ya kuvizia
Tumia lugha ya kistaarabu wewe mshabiki wa madawa ya kulevya Fc.
 
Sijui kwa Nini sioni shida maana kombe tutachukua ila hatari yangu ni Moja TU kama Azam ameweza kuingia kirahisi kwenye meza ya maamuzi ya Yanga na kumchukua fei basi Khali si sawa huko tuendako
Watambeba na Mayele
 
Naona mmeamua hii ndo iwe njia ya kujisahaulisha yanayoendelea katika msimamo wa ligi.

Niseme tu mchezaji kuhama timu moja kwenda nyingine ni jambo la kawaida kabisa.
mtani na wewe ukiendelea hivi tunakusajili kama stivu lialia tulivyomsajili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zimebaki mechi 13

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kifupi ni kwamba FURAHA YANGU NI KUONA UMBWA WA UTOPOLO WANAKOSA RAHA,AMANI,....YAANI MUDA WOTE WAWE NA MISUKOSUKO TU...LIKITOKA HILI LIJE LA MVUA NA MASIKA HAYA INYESHEEEEEEEEEE SIKU 7 MFULULIZO MAFURIKO YAZAMISHE KILE KIJENGO CHAO PALE JANGWANI,
 
Zimebaki mechi 13

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sawa
FB_IMG_1671884691016.jpg
 
Al ittihad ya misri chini ya mtaalamu zoran maki[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Back
Top Bottom