Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Kamati ya maadili ya TFF inakutana leo Machi 14, 2018 pamoja na mambo mengine itajadili suala la Makamu wa Rais wa TFF Michael Wambura aliyefikishwa kwenye kamati kwa makosa matatu.
Kosa la kwanza ni kupokea fedha za TFF isivyo halali.
Pili kugushi barua
Pamoja na kushusha hadhi ya TFF
Kosa la kwanza ni kupokea fedha za TFF isivyo halali.
Pili kugushi barua
Pamoja na kushusha hadhi ya TFF