Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Sisi yanga ni mazuzu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
(1)KOCHA HAMTAKI NGOMA.
Kocha mkuu wa Simba Mbrazil Mzee wa Samba Boy anasema hamuelewi hata kidogo Fabrice Ngoma ,Jana ilichezwa mechi ya mazoezi baina yao Simba Full Game ,Ngoma alicheza Dakika 37 akawa amepata Injury 🩸 kocha anasema hakumpendekeza
Mwamba ametisha sana. Ila utakaaje kwenye maji umevaa taulo na barabara za mashimo hivyo vinywaji si vitaanguka?
Inaumiza zaidi pale wenzetu wanapoamua kubaki Avic Town na kumemena mihogo, huku sisi tukienda Uturuki! Halafu mwishoni mwa msimu tunaambulia patupu, na hivyo kusababisha mwekezaji wetu kukata tamaa mara kwa mara!Inaumiza sana.Halafu wao wapo Uturuki sisi tunamemena mihogo kama panya hapahapa Avic Town.Inaumiza sana.
Kabisa.Ngoja tuone hao daydreamers watakavyochekesha umati kwa mazoea.Inaumiza zaidi pale wenzetu wanapoamua kubaki Avic Town na kumemena mihogo, huku sisi tukienda Uturuki! Halafu mwishoni mwa msimu tunaambulia patupu, na hivyo kusababisha mwekezaji wetu kukata tamaa mara kwa mara!
Ona sasa wahuni wamempiga tena mwekezaji wetu hela kwa kumsajili golikipa wa ligi daraja la 4, kinyume kabisa na kanuni za TFF! Kiukweli siyo poa hata kidogo. Kwa hali hii wenzetu wataendela tu kuwa Mabingwa wa kihistoria.
Halafu mwisho wa msimu mataji yote yanakwenda Avic town.Inaumiza sana.Halafu wao wapo Uturuki sisi tunamemena mihogo kama panya hapahapa Avic Town.Inaumiza sana.
Uto waliandaliwa kupewa taarifa utadhani kiongozi mkubwa wa nchi kafa. Waliogopa wakipewa taarifa ghafla watakufa kwa mishtuko wa moyo, wakaletewa Skudu awachezeshe piano kwanza kuwasahaulisha halafu paah, jamaa yuleeee
Kwa kiingilio cha bukubuku,ujazeni tu!.[emoji23][emoji23][emoji23]Kikao cha kuififisha Simba day kimeisha siyo? Mbona ajenda hamjabadirisha sasa? Simba kujaza kwa Mkapa haitazidi saa sita
mpaka umwagikeKwa kiingilio cha bukubuku,ujazeni tu!.[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona ulishindikana kwa fungulia mbwa?Kwa kiingilio cha bukubuku,ujazeni tu!.[emoji23][emoji23][emoji23]