Tumekuchoka sasa na ramli zako, mara jiweke kisaikolojia , mara nyumba ile.... tired of your ramli. Badilisha tabia please! Badilisha namnan yauandishi wako
Hizi katiba zetu haziwleweki inatakiwa kampeni zikianza rais aliye madarakani ni mgombea akabidhi madaraka kwa mtu mwingine kama Jaji mkuu
Inawezekanaje (hasa kwa Africa) haki kutendeka wakati huku wewe ni rais na vyombo vyote vya dola unavyo upande mwingine wewe ni mgombea?
Who is foolish your mother or your father?Foolish.
[emoji2] [emoji2] kweli mkuu?huko Angola dos santos amestaafu lakini bado amejibakizia mamlaka ya kuteua wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hiyo mpaka atakapokufa.[emoji3][emoji3][emoji3]
kweli sidanganyi.[emoji2] [emoji2] kweli mkuu?