Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Umeongea Ukweli mtupu.... Ila Kipaji hata Kiduchu hana! Kabebwa bebwa pale leo kaachwa Wanabebwa wenzie anapiga makelele Alikuwa na uwezo wa kuimba kumzidi Stara thomas huyo? Akapambane mwenyewe Asitafute huruma za watu.
Kusaga ni kupe
Dada jde pole saana... ila umenifurahisha sana kwa kauli yako "kila nafsi itayaonja mauti" ..... kwa imani y amo hiyo umenivuta niwe SHABIKI wako
Mjomba usihadaike na rangi ya Ganda...
Ipasue pilipili ndani kisha uionje ndo utaijuwa habari yake.
Huyo hamjui Mungu unaemuabudu wewe.
Asikuvutie kwa maneno matamu kama hayo ile hali yeye alipojihisi ana jini mahaba alimuita Mganga Nyumbani kwake na kisha akashiriki ushirikina ambao nina uhakika Mungu unaemuamini wewe haruhusu ushuzi huo...
Shtuka
jide Mnafiki.
Na unvyomshauri amtumaini Mungu na ndie atakaemsaidia unajisumbua tu.
Jide anashiriki na mambo ya waganga na ushahidi alishatuonyesha kwenye kipindi chake cha Diary kuwa aliita mganga kwake na akampunga jini mahaba alilokuwa nalo.
Huyu ni kinega mkomavu. Hii ni Anti virus IV. Hadi msibani wasihudhurie na wala redio yao ya wafu isitangaze kifo chake??? Kusaga tokea amezaa na Zamaradi naona nuksi zinamuandama tu
Pole Jide,
jitahidi muyamalize as msamaha ni kitu muhimu tukiwa hapa duniani kabla haujafumba macho.
KUNA SEHEMU AMEANDIKA MANENO HAYA ...
''Nadhani mnafahamu tangu niachane na Tuzo
zenu mnazo influence nani apate nani asipate,
na tangu niachane na Fiesta nilipolipwa laki 8
mara ya mwisho na kuamua kuunda Band ili
nijiajiri na kupata shows zangu mwenyewe, ikafanikiwa sana jambo ambalo limewauma
na kuamua kufanya kitu cha kuiangusha
Band yangu''....
HAPO KUNA SEHEMU KASEMA ''tangu niachane na Fiesta mara ya mwisho nilipolipwa laki nane''...KUNA MTU ALIULIZA SWALI LENYE MADINI SANA NDANI YAKE, ALIHOJI JE LAKI NANE HIYO WALIKUBALIANA KUWA NDIO YATAKUWA MALIPO AMA WALIKUBALIANA VINGINE KISHA BAADA YA TAMASHA WAKAMPA HIYO LAKI NANE?
AKAENDELEA KUHOJI NA KUULIZA JE KAMA CLOUDS WALIKIUKA MAKUBALIANO JE NI HATUA GANI ZA KISHERIA ALIZIFUATA?
AU ALITUMBUIZA BILA KUINGIA MKATABA?
AU ALIAMUA TU KUJINYAMAZIA?
NA KAMA ALIAMUA KUNYAMAZA NINI KIMEMPWITA MPAKA AKUMBUSHIE ISHU YA MIAKA KADHAA ILOPITA?
HUO NDO UNAFIKI NA PIA NI MOJA YA NJIA YA KUTAFUTA HURUMA ZA WAZALENDO.
Clouds ni genge la wahuni
Hapa nimekuelewa,
ina maana ugomvi umeanzia kwenye laki nane?
hadi anasema wasiiangalie maiti yake? na laana kibao,
kama kwa kitu kidogo kama hicho anafika huko, je siku akimkuta huyo mume au sijui nani wake amela la na mwingine
itakuwaje, inaonyesha huyu dada ni wa vinyongo na kutaka kulipiza kisasi.
Mnaosema Jide ni mnafiki kwa hoja ya kuwa alikaa kimya wakati wa Sugu mjue kwa mtu mstaarabu yeyote huwezi ukakurupuka bado watu unaongea nao vizuri then unageuka tu kwa sababu wamegomania na Fulani hivi mnafikiri kweli?!! Mana kuna watu mahodari wa kukuchekea wakati uku wana Yao! Sasa mtu uliye na upeo na heshima zako this is how we handle it! Identfy the problem! Keep Calm, take action, na kubwa huwani kukeep distance but Mara nyingi watu wa hivo wataendelea kukufuatilia hapo kila mtu Ana namna ya kubackfire! Hii ni yeye Jide kaona atoe dukuduku lake kwa style hii! Na nadhani kafikiri mbali zaidi mana ni kweli hii ni radio tunaisikiliza sana tukipata msiba wa mtu Kama huyu Jide Hana tofauti na alivokuwa kanumba tunampenda! Watanzania lazima tujivunie vipaji vizuri unique tunavokuwa navo Kama hivi! Clouds watacover msiba wake mwanzo mwisho sasa kaongea Lililo Moyoni mwake kaona mbali! Yani watu waliokua wanakutia simanzi ukiwa hai wawe mstari wa mbele ukifa? Kwa hiliwatu tujifunze kuheshimana! Clouds Kama wanavojiona ni wa muhimu kwa jamii kuna watu ambao wajue jamii inawatambua vile vile so wawape heshima Yao!
Sawasawa bi Dada