KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
- Thread starter
- #341
Acha ujinga. Ndo nyie mnaohoji walikua wapi kuchinja miaka yote. Uvumilivu na dharau zikizidi mtu hufunguka.Cku zote alikuwa wapi? Miaka 10 sasa..... Mnafki tuu huyo Mwambieni atulie Aunde pendi upya awalipe vzr kinachostahili Wanamuziki wake!