Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Yessir, it behooves her to clarify how much she used to pay to each and every member of her earlier "Machozi" band.
Kama aliweza kulalamika kulipwa laki nane kwenye Fiesta miaka lukuki iliyopita, basi atakuwa kwenye nafasi ya kutoa viwango alivyokuwa akiwalipa wanabendi wake wote enzi za Machozi Band na Wanabendi aliyonayo hivi leo...
Aweke wazi ni kiasi gani biashara yake inaingiza kwa mwezi kwa faida baada ya kodi, halafu baada ya hapo aweke wazi ni kiasi gani alivyokuwa anawalipa Wanabendi wake, Wafanya kazi wake enzi hizo na kiasi gani anawalipa wote hawa hivi sasa.
Kama aliweza kulalamika kulipwa laki nane kwenye Fiesta miaka lukuki iliyopita, basi atakuwa kwenye nafasi ya kutoa viwango alivyokuwa akiwalipa wanabendi wake wote enzi za Machozi Band na Wanabendi aliyonayo hivi leo...
Aweke wazi ni kiasi gani biashara yake inaingiza kwa mwezi kwa faida baada ya kodi, halafu baada ya hapo aweke wazi ni kiasi gani alivyokuwa anawalipa Wanabendi wake, Wafanya kazi wake enzi hizo na kiasi gani anawalipa wote hawa hivi sasa.