Kimenuka: Muna Love afikishwa Polisi na mamake mzazi kwa kumsingizia amefariki, hana mtoto mwingine zaidi ya Patrick

Kimenuka: Muna Love afikishwa Polisi na mamake mzazi kwa kumsingizia amefariki, hana mtoto mwingine zaidi ya Patrick

Hayo ni mambo ya familia tuwaachie wenyewe hayatuhusu bhana
 
Ma tabulalasa ndio yamjazana bongo muvi. Mbaaf kabisa.
 
Hivi unapata wapi ujasiri wa kumsingizia mzazi wako amefariki?
Wasanii wa bongo bhana

Kwa taarifa kama kuna Watu ambao ' Wamewauwa ' Wazazi wao kwa Kuwasingizia ili tu wapate ' favors ' fulani kama Mikopo basi ni Wanafunzi wa Vyuo Vikuu walio chini ya HESLB. Tulia na fanya ' Utafiti ' wako kiumakini juu ya hili kwani binafsi wakati nikisoma Chuo Kikuu nimelishuhudia ' vividly ' kabisa na kuna mmoja wao aliandika Mama yake ' Kafariki ' sasa hivi ni Mtendaji mzuri tu wa Kiserikali ( ila namhifadhi ) na kuna mwingine katika ile Fomu ya Mkopo alijaza Wazazi wake ' wamefariki ' wakati kumbe alikuwa amewaacha Kijijini Kwao wakiwa Shambani wanalima huku wanaimba nyimbo za Morali.
 
Mama mzazi wa msanii wa Bongo Movies Muna Love, Ritha Moyo amempeleka Polisi mwanaye huyo kwa makosa ya mtandaoni ya kumkana kuwa amefariki, kumtukana na kumkana mjukuu wake aliyeko Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kudai hana mtoto mwingine zaidi ya marehemu Patrick Peter, jambo ambalo mama huyo amedai si kweli kwani ana mtoto mwingine wa kiume mwenye umri wa miaka 13.

Soma> Siri nzito baada ya kifo cha Patrick..Muna alikuwa na mtoto mwingine - JamiiForums
Kuna uzi humu unaeleza wengi wa wasanii wa bongo wanatumia madawa ya kulevya
 
Back
Top Bottom