Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Mama mzazi wa msanii wa Bongo Movies Muna Love, Ritha Moyo amempeleka Polisi mwanaye huyo kwa makosa ya mtandaoni ya kumkana kuwa amefariki, kumtukana na kumkana mjukuu wake aliyeko Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kudai hana mtoto mwingine zaidi ya marehemu Patrick Peter, jambo ambalo mama huyo amedai si kweli kwani ana mtoto mwingine wa kiume mwenye umri wa miaka 13.
Soma> Siri nzito baada ya kifo cha Patrick..Muna alikuwa na mtoto mwingine - JamiiForums
Soma> Siri nzito baada ya kifo cha Patrick..Muna alikuwa na mtoto mwingine - JamiiForums