Kijana Ommy naona ameshika kabisa kahotel ka mtoto kiani kuonyesha anaumiliki mwili wa mama huyo lijana dimondi akubali tu anaetoka na taulo chumban kwa mama yako ndo baba yako awe mpole tu dogo ashakula vyake hapo amwite tu baba Ommy yaishe
Si kila mzazi wa mtu au wazazi wa watu hueshimiwa...Kuna wazazi wengine wanajivunjia heshima wenyewe..Ebu fikiria mambo anayofanya mama yake huyo alianzisha pambano unamuona anavyoishi pasipo jali heshima yake kama mama na mtu mzima......Pia alianzisha maneno ya kwenye kanga bado hajaelimika......yeye wa kimataifa aishi kimataifa ili wenzake wajifunze toka kwake......Bado anaishi ktk maisha ya mipasho kama Isha mashauzi...Hivi walishindwa kujibizana wenyewe bila kuwahusisha wazazi....
Heshima ya mzazi lazima itunzwe.
Bimkubwa kashikwa titiKijana Ommy naona ameshika kabisa kahotel ka mtoto kiani kuonyesha anaumiliki mwili wa mama huyo lijana dimondi akubali tu anaetoka na taulo chumban kwa mama yako ndo baba yako awe mpole tu dogo ashakula vyake hapo amwite tu baba Ommy yaishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima inaanzia kwa mama mwenyewe sasa mama kutwa kuuza sura mitandaoni na kukimbizana na viben 10 ataheshimiwa na nanMkuu.. Mama apewe heshima yake. Mama yako anaweza kuwa mama yangu pia.
Hahahahaha! Mond si yupo pamoja na bwana yake Bashite! Lazima amtetee diamond.Kumbe na wewe unamwagaga povu demu wa Bashite, Diamond kamwaga mboga mwache Ommy amwage ugali
Sent using Jamii Forums mobile app
Wife vp mbona povu limepungua?
Ungeyasema hata tangu diamond alivyomuita mobeto "bitch" mobeto nae Ni mzazi na Ni mwanamke kama hao wanawake unaowatetea sasa hivi,Kwa bahati mbaya wasanii waliopo Kwa sasa sijaona msanii anaewakosea heshima wanawake kama diamond,amekua ndo ring Leander Wakutoa matusi juu ya mama,dada na Shangazi Wa watu wengine,wache na yeye asikilizie how it hurts...Prof ujue huu ujinga wa wanawake kutumiwa insta na kwenye mitandaoni mingine umeanza taratibu na Sasa unajua kwa Kasi ya ajabu.
Walianza kwa kumtusi Hamisa, kisha zari Sasa Kendra nakuambia kesho itakuwa ni zamu ya mwanamke mwingine.
Kipindi cha nyuma wema alitusiwa sana akina Irine na wengine.
Cha ajabu hakuna mwanamke yyte aliyesimama kusema jambo hili halikubaliki yaan wanawake nao tukawa ni sehem ya kutoa matusi hayo pasi kujali kwamba wanawake hawa hawana tofauti na wasiokuwa mastaa.
Haya matusi ya nguoni ambayo tunaruhusu hawa vijana wadogo wa kiume watutukane ni kwasabb wanajua wanawake hatupendani na hivyo hakuna atakaye simamia kulipinga hili.
Hivi wanawake wakipaza sauti unafkir hata kuna mtu angenyua simu yake na kuandi ka upuuzi huu?
Cha ajabu kabsa huyo aliyempost Kendra na huyo shamte kutumiwa hizo picha ba mwanamke. Yaani nkajiuliza hivi ni uzuz wa kiasi Gani huu? Yaan mtu unamfuatilia mwanamke mwenzio ili umpige picha kumdhalilisha kwenye mitandao?
Nakuambia ukombozi wa mwanamke hauwez kufika ikiwa Hali ya chuki miongoni mwa wanawake haijaondoka.
I feel so sad kwa wahanga wote wa huu udhalilishaj kuanzia hamisa, zari na Kendra
Sent using Jamii Forums mobile app
Remember that not every woman will be a mother. "Mama"Hivi kwani hamisa alivyo tukanwa ama zari hawakua wanawake tena mama?
Ukweli insta wiki hizi mbili kumeibuka tabia ya kuwa tukana sana wanawake. Na sijui nani ndiye chanzo cha haya. Ila huu udaku plus mange it's really weird.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Unaanza kutoa siri za chumbaniKwa hicho kibamia wewe ni shoga yangu tu
Kama mambo ya Bi sandrah ndo hivi sasa ommy kakosea wapi[emoji116] [emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimbabwe
Hivi Diamond Ndio anapendaHehehe daimond mchokoz sana,,,acha atukanwee
Jamani babe wangu.Hivi Diamond Ndio anapenda
Ananguvu gani?
Ommy ni mjinga sana, bora angeandika kitu bila kusingizia kwa Mama mtu na kupambana kiume. Ndio maana yupo alivyo ukweli unamuuma huku yeye juzi kajitangaza na vaseline alitegemea nini. Jinga sana hilo, nimeona ametukanwa haswa na watu wengi huku alitegemea kusifiwa. Mfyuuuuu zake