Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

Mond na kuvuka kwake border baado ana mambo ya uswahilini!Naye Ommy angetumia hekima anyamaze asimjibu kitu.Ndo maana mziki wetu haufiki kokote.

Basata Fungia Wote Hawa.
akili za diamond n mbovu ukikaa kimya anaona kashinda au umemuogopa hiyo ndo dawa ili siku nyingine afikirie Mara mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeyasema hata tangu diamond alivyomuita mobeto "bitch" mobeto nae Ni mzazi na Ni mwanamke kama hao wanawake unaowatetea sasa hivi,Kwa bahati mbaya wasanii waliopo Kwa sasa sijaona msanii anaewakosea heshima wanawake kama diamond,amekua ndo ring Leander Wakutoa matusi juu ya mama,dada na Shangazi Wa watu wengine,wache na yeye asikilizie how it hurts...
Nilitamani ommy hata angekuwa na picha ya uchi ya Bi Sandra angetuwekea tu tuone vitako vya Bi Sandra vilivyo vikavu..siku zote daw ya jeuri Ni kiburi..!!
Haya maneno niliyasema na sio mara Moja. Hata hamisa alipojifungua kwa zari nilisema.

Ukiangalia utagundua kuwa diamond anapata kiburi kwasabb wanajua wanawake hawapendani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeyasema hata tangu diamond alivyomuita mobeto "bitch" mobeto nae Ni mzazi na Ni mwanamke kama hao wanawake unaowatetea sasa hivi,Kwa bahati mbaya wasanii waliopo Kwa sasa sijaona msanii anaewakosea heshima wanawake kama diamond,amekua ndo ring Leander Wakutoa matusi juu ya mama,dada na Shangazi Wa watu wengine,wache na yeye asikilizie how it hurts...
Nilitamani ommy hata angekuwa na picha ya uchi ya Bi Sandra angetuwekea tu tuone vitako vya Bi Sandra vilivyo vikavu..siku zote daw ya jeuri Ni kiburi..!!
Aliweka picha ya uchi ya Kendra ingekusaidia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo nalo linatafuta kiki tu. Linajikuta na lenyewe kichwa. Sasa mama mtu hapo anaingiaje.? Akili shida anafikiri kama mwanamke nayeye. Awaache wanaume wapambane wenyewe.
ukishaamua kuingia kwenye vita usimchagulie adui silaha ya kutumia kaka...kila mtu anatafuta namna ya kumuumiza mwenzie so hata kama diamond ana habar za mamake ommy amwage tuu si wameamua bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watoto watatu wa Kigoma waige mfano wa kaka zao Chege Chigunda mtoto wa mama Said au Banana Zorro.......jamaa huwa hawana habari za kipumbavu pumbavu.

Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
diamond ndo ana mambo ya kipuuzi kawachokonoa wafanyeje? acha wamoe vyake afu aingie tena studio apake tena na ommy nae amjibu mwisho tutumiwe na oicha za utupu za hawa wazaz kabisaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mambo ya Bi sandrah ndo hivi sasa ommy kakosea wapi[emoji116] [emoji116]
489bed108767906c81100c047855fd3c.jpg
2e06870229455cfe95920362a881c701.jpg
da53d319463cb7e39f2c6c4b03d17a1d.jpg
21f31adb38a5098e8b08635e61775dc3.jpg
b6c52e5863e1f8e84442bfa6139fb43a.jpg
a1189c4d08e5db0bbaf6380ec93b6774.jpg

918f690e89b9ca7c44b3d69a43a80e87.jpg
25cd6e5f5eaafb908edd3b6a04bc472f.jpg
7ab29b8b3591be38e59bedcbc281e39d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Kashasema ndoa ya kiislam ni halal Hiyo. Mpk kwa Allah. Kuachana, kuacha, kuachwa vitu vya kawaida hivo mbona yeye kaachwa Hana jipya Aseme kingine hanaga jema Kwenye familia ya Diamond siku zote
 
Shosti kumbe ndo walikufanyia hivyo aiseee
Dah! Unaanza kutoa siri za chumbani
Wakati kunasiku nilikufanya hadi ukasema umefika juu ya mlima
Na kule juu ukasema kuna nice view
 
Huyo Hamisa Mobeto naye kawa mama? Awatunze watoto wafikie umri alionao kina Diamond ndio tutaelewa kweli ni mama. Ndio maana nasema siyo kila mwanamke anaweza kua mama.
We hata hujui unatetea kitu gani.

Yaani Mama Dimond mpenda ndogondogo asie jiheshimu unamuona wa maana yule mwingine unamuona takataka kisa watoto wake wadogo.

Nyie mnafuta ugomvi wa mawe wakati mnakaa nyuma za vioo.....Kama Dimond asingewatukana wenzie je mama ake angetukanwa?!
 
Kashasema ndoa ya kiislam ni halal Hiyo. Mpk kwa Allah. Kuachana, kuacha, kuachwa vitu vya kawaida hivo mbona yeye kaachwa Hana jipya Aseme kingine hanaga jema Kwenye familia ya Diamond siku zote
Huyu Dada tatizo mnamchukia sababu anafichua ukweli na siku zote ukweli unauma, nampenda huyu Dada mpaka kwenye moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeyasema hata tangu diamond alivyomuita mobeto "bitch" mobeto nae Ni mzazi na Ni mwanamke kama hao wanawake unaowatetea sasa hivi,Kwa bahati mbaya wasanii waliopo Kwa sasa sijaona msanii anaewakosea heshima wanawake kama diamond,amekua ndo ring Leander Wakutoa matusi juu ya mama,dada na Shangazi Wa watu wengine,wache na yeye asikilizie how it hurts...
Nilitamani ommy hata angekuwa na picha ya uchi ya Bi Sandra angetuwekea tu tuone vitako vya Bi Sandra vilivyo vikavu..siku zote daw ya jeuri Ni kiburi..!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom