Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

Ommy ni shoga halisi nimeamini kweli mama mzazi wa mtu unamuhusisha na upuuzi mitandaoni hivi

kweli huyu jamaa nimeamini leo kua anapakuliwa kisamvu cha kopo
 
Kamchokoza mwenyew dai bana

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
4c28c5a7505654ee1c16f0b809df7e03.jpg
43434bc38364df1ebe6cdi3c0cabffecd.jpg


Jionee wenyewe mambo yamenogaa[emoji115] [emoji115] [emoji115]

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwahiyo Ommy kamla mama Almasi!?
 
Salam anamshauri vibaya Diamond, wanaamini bifu ndo zimewasaidia kufika hapo walipo, may be Yes,ila wasidhani ndo zitawasaidia kila siku. Leo Diamond katukaniwa mama yake. Ommy nae kaona apige panapouma. Kama alivyosema ukiwa vitani silaha yoyote itakayomuumiza adui itumie. Aibu kwa kweli hawa vijana wa Kigoma kufanyiana upumbavu kama huu.
Ila Hawajui kwamba kiki zinamshusha domo kimuziki zaidi ya kumpandisha maana katk hili akilolianzisha kuna baadhi ya mashabiki keshawapoteza wenye akili zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam haez kumshauri coz wako wanachokipata kwenye huu udhalilishaji wanaita wenyewe 'kiki' wanapenda sana attention na kuongelewa...hamna anayejielewa kati yao.
Lakn ndo wanajishusha hivo maana kila mtu anajua kwamba domo kiwango chake kimeshuka na hii yote ni kuendekeza taarabu badala ya mziki mzr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom