Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

Mtoto wa kiume akishaanza kuandika maneno ya kijinga yanayotumiwa na wanawake waliokosa stara ambayo hata wanawake wanaojitambua hawawezi kuyatumia huwa naanza kuwa na wasiwasi nae...mwanaume utamke “umenichamb*" hadharani sio ushoga huo?

sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
Kwahiyo yule aliyeeingia studio na kuandika dis kwa wenzie huyo sio shoga
 
Ommy ni shoga halisi nimeamini kweli mama mzazi wa mtu unamuhusisha na upuuzi mitandaoni hivi

kweli huyu jamaa nimeamini leo kua anapakuliwa kisamvu cha kopo
Ndio baba enu huyo....hata akiwa Chakula Ndio kishamkula mama enu
 
Mara nying huwa wanasema Ali kiba ndio anapenda bifu kwa kuwa ananufaika nalo ila sasa na Diamond kaonesha wazi kuwa ananufaika na bifu na ndio maana analitafuta, hapa katikat hatukusikia misuguano yoyote ya hawa watu na palikuwa kimyaa ..imekuwaje yeye kuanza kuwachokoza wenzake na hawajafanya chochote kibaya kwake? Hata mimi uniite Shoga harafu nina Bomu ? Kwanini nisikulipue ...potelea mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi TCRA huwa haihusiki na yale matusi ya nguoni kule INSTAGRAM. Maana naonaga raia wanajiachia tu bila hofu yoyote

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
IMG-20170823-WA0024.jpg


ushauri wa bure
 
Acha akomeee

Tena ommy amwongezee jingine

Alimtukana sana wema

Akamtukama jokate

Akamdhalilisha na uwoya

Kila mara vijembe kwa kiba

Juzi tu alishusha mijineno na mijipasho kwa zari

Na kumuita hamisa bitch...au bitch sio tusi?

Na hii mara ya pili amentusi ommy..alimuita ommy shoga..au shoga sio tusi

Acha akomeshwe..... Ommy kampa taste of his own medicine analia........ analia nini sasa?

Akomeeeeeeee
Ona mangenita alivyomuumbua bi sandraa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

My own brand!!
 
Haya umeenda studio unerokodi vijembe kwa mwenzako amekujibu tu twitter umepanic umerudi tena studio umerekodi diss nyingine umejibiwa kwenye insta sasa ukoo mzima umepanic eti "sio poa kumuhusisha mama"

Yani hapo kwa mama Sandra kukunjwa na Dimpoz ndiyo patamu zaidi kwasababu imeumiza ukoo mzima uliochekelea vijembe alivyoanzisha Diamond kwenye nyimbo.
Mkuu umenifurahisha[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom