Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

Kimenuka: Ommy Dimpoz amjibu Diamond, amuita mwanae

Ujana maji ya moto kuna umri utafika watajutia haya pia si hekima kutukana wazazi ni kujitafutia laana, mzazi wa mwenzio ni mzazi wako
Upo sawa kiongozi. .ila kaa ukijua wako wazazi wanatembea na watoto.
Sio muvi nikweli haya mambo yapo. Kwahyo sometimes kuwa makini na mzazi wako kama kuna movement huzielewi mkanye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku nipo JamiiForums au Instagram? Anyway fresh

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Ommy Dimpoz amepatia kabisa,

Hapa panapowauma ndiyo Dimpoz anapagonga zaidi muumie vizuri, kupambana kiume ni kupambana kwa kutumia maneno yoyote regardless yanamuhusu nani cha msingi yamuumize unayepambana naye hadi akome kufungua mdomo.

Nyie kweli milembe mkipelekwa sitashangaa.. mnashabikia uongo ulioandikwa na meke.. duh mjisikitikie wote na wenzako mlioni quote humu. Wadaku kweli mliojaa wivu.. si bora angejibu na la kweli... mna muda mnunulieni na mafuta kabisa ajipake.
 
Duh!!!haya mambo huwa yanaanza kama madogo baadaye yanakuwa makubwa naona dada mtu kareplay kwa uchungu sana[emoji116]
f50501607091ff483becf6838d8586eb.jpg


-Ndumilakuwili-


NI KWELI NI MAMAKO, LAKINI NI MKE WA KIJANA HUYO. KIJANA ANA KILA SABABU ZA KUMUELEZEA MAMAKE.

MAISHA BINAFSI, KUYAFANYA KUWA YA KITAIFA NDIO HAYO SASA!!!
 
Nyie kweli milembe mkipelekwa sitashangaa.. mnashabikia uongo ulioandikwa na meke.. duh mjisikitikie wote na wenzako mlioni quote humu. Wadaku kweli mliojaa wivu.. si bora angejibu na la kweli... mna muda mnunulieni na mafuta kabisa ajipake.
Ndiyo mkome sasa.
 
Back
Top Bottom