Kimenuka P-Funky Majani na Jose Chameleon, kisa wimbo wa 'Bomboclat'

Kimenuka P-Funky Majani na Jose Chameleon, kisa wimbo wa 'Bomboclat'

Majani kakinukisha kwa jose chameleon kisa ni wimbo wake wa bomboclat kutumika kama soundtrack kwenye movie ya lupita nyongo iliyoshootiwa marekani. Katika uchunguzi majani kabaini chameleon ndio kalipwa. Majani akawasiliana na chameleon akitaka maelezo jamaa akamdanganya eti kapewa dola 2000 kumbe kabewa zaidi ya dola 50,000. Majani kashtaki COSOTA wakafatilia Uganda bt jamaa hawakujibu chochote. Majani kawasuliana na Walt Disney watayarishaji wa movie wameomba wayamalize nje ya mahakama lakini nao watadili na joseee. Credit bongo5.com

basi tuseme alilipwa kweli hiyo dola elfu mbili
1. kwanini hakumtaarifu Majani kabla ama baada ya kulipwa?
2. kwanini hakuomba ruhusa ya Majani kufanya hivyo?
3. Ni kiasi gani amempa ama amepanga kumpa majani katika hiyo dola 2000?
4. kama amepanga kumpa atampa lini?
 
yawezekana hawakujua, labda chameleone aliwaambia ni yake

yawezekana walijua wakachukulia rahisi
ukisoma hizo wasup msg chamelleone ameaknwoledge kuwa alifanya makosa kwa mwanzoni alipotumia hiyo beat alidai anatumia kama riddim tu na aliahidi kulipa dola 2000 ambayopia hakulipa
 
ukisoma hizo wasup msg chamelleone ameaknwoledge kuwa alifanya makosa kwa mwanzoni alipotumia hiyo beat alidai anatumia kama riddim tu na aliahidi kulipa dola 2000 ambayopia hakulipa
unamaanisha dola 2000 zile alizotakiwa kulipa miaka ile anatumia hii bit?

kama ndivyo, kwanini hakulipa siku zote hizo?
 
Hiyo sio bongo muvi. Lupita nyongo ni wa kimataifa zaidi. Ameshashiriki filamu na wakongwe kina brad pit. Keshabeba tuzo za oscsar ambayo bado ni ndoto ya actors wengi wakubwa marekani. This is not a matter to underestimate. P funk anaongea hadi anataka kulia. Ametumia pesa nyingi kufatilia haki yake. Anasema lawyer kumlipa kwa saa tu anatumia dola 4000. Chameleon ni tapeli. Watanzania tupige kelele juu ya ujangili huu.

Dola 400 bhana, sikiliza audio...
 
yawezekana hawakujua, labda chameleone aliwaambia ni yake

yawezekana walijua wakachukulia rahisi

Ndio maana nashangaa, kampuni kubwa kama WD inakuwaje kufanya mambo bila karatasi zilizothibitishwa.
 
Kwani beat hiyo chameleon hakumlipa majani wakati ana mtengenezea huo wimbo? Nadhani wimbo na beat ni mali ya msanii sio vya producer, bila hivyo basi producer itabidi alipwe kila msanii anapoingiza hela kupitia wimbo na hiyo beat. P funk ilifaa awe analipwa kwa kila show ambayo chameleon ameumia huo wimbo na beat, mauzo ya cd, iTunes, ring tones nk.
 
kama umemsikiliza majani anasema makubaliano ya hiyo dola 2000 ni ya 10yrs back baada ya kuzinguliwa kwanini ametumia beat bila ruhusa na hata hivyo aliendelea kusumbua kulipa hiyo hela na sasa limetokea hili la kuuza huu muziki disney world bila kujari haki ya mmiliki wa beat ambaye ni producer
 
Kwani beat hiyo chameleon hakumlipa majani wakati ana mtengenezea huo wimbo? Nadhani wimbo na beat ni mali ya msanii sio vya producer, bila hivyo basi producer itabidi alipwe kila msanii anapoingiza hela kupitia wimbo na hiyo beat. P funk ilifaa awe analipwa kwa kila show ambayo chameleon ameumia huo wimbo na beat, mauzo ya cd, iTunes, ring tones nk.

P Funk kasema akulipwa.
 
Kwani beat hiyo chameleon hakumlipa majani wakati ana mtengenezea huo wimbo? Nadhani wimbo na beat ni mali ya msanii sio vya producer, bila hivyo basi producer itabidi alipwe kila msanii anapoingiza hela kupitia wimbo na hiyo beat. P funk ilifaa awe analipwa kwa kila show ambayo chameleon ameumia huo wimbo na beat, mauzo ya cd, iTunes, ring tones nk.
Beat ni mali ya producer! Get it on your head
 
Hiyo sio bongo muvi. Lupita nyongo ni wa kimataifa zaidi. Ameshashiriki filamu na wakongwe kina brad pit. Keshabeba tuzo za oscsar ambayo bado ni ndoto ya actors wengi wakubwa marekani. This is not a matter to underestimate. P funk anaongea hadi anataka kulia. Ametumia pesa nyingi kufatilia haki yake. Anasema lawyer kumlipa kwa saa tu anatumia dola 4000. Chameleon ni tapeli. Watanzania tupige kelele juu ya ujangili huu.
Kumbe! Mimi nilidhani Lupita Nyongo ni bongo mavi wanaouza nyuchi ili waendelee kubaki town.
 
Kwani beat hiyo chameleon hakumlipa majani wakati ana mtengenezea huo wimbo? Nadhani wimbo na beat ni mali ya msanii sio vya producer, bila hivyo basi producer itabidi alipwe kila msanii anapoingiza hela kupitia wimbo na hiyo beat. P funk ilifaa awe analipwa kwa kila show ambayo chameleon ameumia huo wimbo na beat, mauzo ya cd, iTunes, ring tones nk.
Hiyo biti ilitumika ktk wimbo wa Pr. Jay na ndipo chameleon nae akaifanyia ngoma yake so ilikua sio mali ya chameleon
 
Kwani beat hiyo chameleon hakumlipa majani wakati ana mtengenezea huo wimbo? Nadhani wimbo na beat ni mali ya msanii sio vya producer, bila hivyo basi producer itabidi alipwe kila msanii anapoingiza hela kupitia wimbo na hiyo beat. P funk ilifaa awe analipwa kwa kila show ambayo chameleon ameumia huo wimbo na beat, mauzo ya cd, iTunes, ring tones nk.
We acha kudanganya umma ndugu kila mtu anapataga percent zake mfano diamond ile TV ya marekani waliocheza wimbo wake akalipwa T-sh 40ml ziligawanywa had producer akawa na chake
 
Kwani beat hiyo chameleon hakumlipa majani wakati ana mtengenezea huo wimbo? Nadhani wimbo na beat ni mali ya msanii sio vya producer, bila hivyo basi producer itabidi alipwe kila msanii anapoingiza hela kupitia wimbo na hiyo beat. P funk ilifaa awe analipwa kwa kila show ambayo chameleon ameumia huo wimbo na beat, mauzo ya cd, iTunes, ring tones nk.
Kwanza jua beat hakutengenezewa josee bali alitengenezewa prof jay na feroz kwenye nikusaidieje. Josee akaimba juu ya beat hiyo bila ruhusa ya majani ndio majani akaanza kudai haki yake. Tapeli josee akaahidi angempa usd 2000 wakati huo ambazo hakulipa. Sasa jamaa kama haitoshi akapokea malipo kutoka wilt Disney kama yeye ndio mwenye hati miliki ya hiyo beat. Umeelewa hapo? Majani akamuuliza josee what is this? Jamaa ndo akaanza kujiuma uma oooh naomba namba yako sijui. Majani akampa lakini nadhani majani alishachukia akawa hapokei simu zake akaamua kukinukisha moja kwa moja
 
Ndio mimi jibu langu ni kuwa unahisi walt Disney hawwezi lulipa usd 50000 kwani watapata hasara. Kwa taarifa tu gharama za maandalizi tu ilikuwa zaidi ya dola millioni moja na nusu
Bongo movie ndo wanapata hasara sio Hollywood! Unashangaa kulipa 50000usd wakati kuna movie bajeti yake inazidi 100bilion TZS? Jifunze kuhusu movie industry ya US.
 
Back
Top Bottom